Victoria C Mwanziva: Mgombea nafasi ya Umakamu Mwenyekiti UVCCM taifa


Sijui kwanini sijawahi ipenda CCM tangu kuzaliwa.
 
Kuna watu wamezaliwa wa kazi yao kuwapigia wenzao promo tu,kwenye
Ulaji....

Ova
 
Gushleviv alipo sasa hivi analia tu. Aliwekeza madafu yake kwe crypto exchange FTX. Alijifanya bullish eti am buying the dip soon al b fakin rich when crypto goes up. Nikamshauri dogo tafuta shamba ulime hakusikua.
 
Myebusi kama Myebusi ni lini ukayajua ya ukaldayo??
Hahaha Sam bank-man fried kashawapiga huko. Laiti ungesikia ushauri wangu angalau ukawekeza hayo madafu yako kwenye pembejeo badala ya crypto.
 
Hahaha Sam bank-man fried kashawapiga huko. Laiti ungesikia ushauri wangu angalau ukawekeza hayo madafu yako kwenye pembejeo badala ya crypto.
Niliachana na Crypto kitambo sana siku hizi natrade stocks na commodities
 
Hongera sana Katibu Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa UVCCM TAIFA Comrade Ndugu VICTORIA C MWANZIVA kwa kuteuliwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Kugombea na Kuwania Nafasi ya Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa.
Hongera wakati mwenzako anatakiwa kuumia kwa kutoa rushwa ya nanihii
 
Hafai,alikuwa demu wangu udsm mwaka 2013,ni mkatili na mbinafsi sana,mume wake alijua uhusiano wetu kila mara hunipigia akilalamika kuhusu huyu mama/dada
 
Hafai,alikuwa demu wangu udsm mwaka 2013,ni mkatili na mbinafsi sana,mume wake alijua uhusiano wetu kila mara hunipigia akilalamika kuhusu huyu mama/dada
Hatari sana[emoji1787][emoji1787]vipi kitandani mauno yapo??[emoji2960][emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…