MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Welcome kwa club! Natural hair ina build more confidence in you kuliko hizi fake hair.Natural hair tamu bwana ndio maana nimenyoa.
Najipendaje sasa hivi?
Hadi najuta nilikuwa nasita nini kunyoa siku zote.
cc Valentina...ushanyoa?
Mie tayariiiiiii [emoji6]
Low cut imenibariki sana,najikuta najipenda mnooooo.Welcome kwa club! Natural hair ina build more confidence in you kuliko hizi fake hair.
Low cut imenibariki sana,najikuta najipenda mnooooo.
Of course confidence imeongezeka sana.
Asante dear.
Mkuu sikuwa nikitumia hizo mambo,nilikuwa na nywele ndefu ambazo ndizo nilizozitaka.Indeed muache makatani aisee.
hadi raha aisehh!Natural hair tamu bwana ndio maana nimenyoa.
Najipendaje sasa hivi?
Hadi najuta nilikuwa nasita nini kunyoa siku zote.
cc Valentina...ushanyoa?
Mie tayariiiiiii [emoji6]
mine ngoja nkuulize umbea kwanza hivi director Joan ni 0.5?!!!!Mkuu sikuwa nikitumia hizo mambo,nilikuwa na nywele ndefu ambazo ndizo nilizozitaka.
Sikuwahi na wala sina mpango wa kuvaa wigs/weavings.
I see meeeee. Nina upara sasa hivi, na hiki kichwa kilivyo kirefu kama barabara ya Dart hehe, Godfidence yangu sio ya sport sport
I can't imagine ulivyo mkyuti binti nyaki!I see meeeee. Nina upara sasa hivi, na hiki kichwa kilivyo kirefu kama barabara ya Dart hehe, Godfidence yangu sio ya sport sport
Harieth Paul, levels baby levels....
Haha niache na chogo langu.I can't imagine ulivyo mkyuti binti nyaki!
Binamu umeanzishiwa Uzi wa mapendo kule
wenye chogo wazuri hao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haha niache na chogo langu.
Weee wapi tena huko, ndo naingia now
Hahha kumbe we are beautiful eehwenye chogo wazuri hao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kule MMU ngoja nikutag!
Ndio shida ya kufunga PM huku umbea mnautakamine ngoja nkuulize umbea kwanza hivi director Joan ni 0.5?!!!!
Sana tu....Hahha kumbe we are beautiful eeh
Nimeona bina
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja sasa nifungue chaaaa ..Ndio shida ya kufunga PM huku umbea mnautaka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwenyewe karibia nitafunga thou...
BTW kama nimekuelewa unaulizia kwamba naye yupo kwenye gridi ya taifa?
Kama ndivyo basi rumours are...
Na mbona ni kabla hata hajaoana na huyo mumewe?
Nasikia naye ndio vile tena!
Sana tu....
Haya nenda kakubali proposal tucheze kwaito
Niliwahi kuku-pm bana nikaambiwa pm yako imefungwa, nilivyotoka msibaniNdio shida ya kufunga PM huku umbea mnautaka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwenyewe karibia nitafunga thou...
BTW kama nimekuelewa unaulizia kwamba naye yupo kwenye gridi ya taifa?
Kama ndivyo basi rumours are...
Na mbona ni kabla hata hajaoana na huyo mumewe?
Nasikia naye ndio vile tena!
Teh mtachezaga tu lakini sio LeoSana tu....
Haya nenda kakubali proposal tucheze kwaito
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiiiiiiii upara hapana aiseeeI see meeeee. Nina upara sasa hivi, na hiki kichwa kilivyo kirefu kama barabara ya Dart hehe, Godfidence yangu sio ya sport sport
Harieth Paul, levels baby levels....
Ha ha sio kipara kabisa bana. Since 2014 narock rough dreads, nasuka then napunguza kidogo naweka rough. Nywele zilikua zimekua bana, juzi nikaenda kupunguza kidogoo hehe nimepunguzwajeee, hadi nilinuna, sio Kwa hili bichwa khaa. But nipo busy barabarani najishauaje coz I can't wear wigs aisee teh. Nina mpango wa kuweka afro fulani hivi amazing zikikua tena[emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiiiiiiii upara hapana aiseee
Napenda afro fulani hivi amazing.
Niipatie na products za nywele fupi...weeee [emoji39] [emoji39]
Aliyeni inspire kunyoa ni K-Lyn
Design we looks alike hivi...
Heheeeeee
Nikaona bora nimuige mazima.
Niliwahi kuifunga,sasa mbona wengine wakini-PM naziona?Niliwahi kuku-pm bana nikaambiwa pm yako imefungwa, nilivyotoka msibani
0.5 inamaanisha half cast nafikiri