Victoria Secret Fashion Show: Models With Natural Hair on the Runway

Victoria Secret Fashion Show: Models With Natural Hair on the Runway

Mhhhh haya naona umeamua kudanganya ,bahati mbaya kudanganya huwezi maskini ya Mungu

Wewe hamna sehemu ulikuwa unamchamba mke wa dady yako kwamba sijui dady yupo honeymoon wapi wapi huko ...kaboooooom
Aah nilijua atoto ndo yupo honeymoon eti. Kuhusu daddy nilikuwa namrusha tu roho bi mkubwa
 
Natural hair tamu bwana ndio maana nimenyoa.
Najipendaje sasa hivi?
Hadi najuta nilikuwa nasita nini kunyoa siku zote.

cc Valentina...ushanyoa?
Mie tayariiiiiii [emoji6]
Aise mi bado sijanyoa mwenzangu... Watu wanavozionea huruma mpaka nasita sasa[emoji17]
 
lol! hahahahaha BAK wa JF ama kuna BAK mwingine? kama huyu wa JF si kishaandika hapo juu kwamba show iko bomba iongezwe hata iwe ya masaa mawili lol! Mungu anakuona ujue hahahahahahah


Hahah!, we haya we...🙂
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aise mi bado sijanyoa mwenzangu... Watu wanavozionea huruma mpaka nasita sasa[emoji17]

Mambo zako wifi?, na wewe unajishauri kunyoa kama mie!, nywele fupi zina raha yake lakini kama umezoea ndefu kunyoa kunahitaji moyo sana.
 
Hapa Maria akiwa binti mdogo kwao Luanda Angola

Naona watu wanatoka mbali sana
 

Attachments

  • 1480884885227.jpg
    1480884885227.jpg
    23.9 KB · Views: 51
  • Thanks
Reactions: kui
atoto hebu njoo ujibu hili swali 😀

Halafu shosti inabidi na sisi tu ditch ma weave, unaona nywele fupi zilivyo tamu? watu wamejidai na natural zao humu mbona mpaka nimetamani!

Mie nilinyoa kitambo sana, wigs mara moja moja sanaaa, japo mwaka huu sijavaa kabisa.

Kuhusu hilo swali lake amuulize BAK kwakweli.
 
Back
Top Bottom