Victoria Secret Fashion Show: Models With Natural Hair on the Runway

Victoria Secret Fashion Show: Models With Natural Hair on the Runway

Niliwahi kuifunga,sasa mbona wengine wakini-PM naziona?
Yani hata sielewi.

Na hata juzi nimeangalia settings nikaona ziko sawa (niliacha option ya watakaoweza kuanzisha conversation na mimi ni wale niliowafollow pekee).

Pole mpendwa wangu.
Ooh it's okay mpenzi, usijali hata.
 
Ha ha sio kipara kabisa bana. Since 2014 narock rough dreads, nasuka then napunguza kidogo naweka rough. Nywele zilikua zimekua bana, juzi nikaenda kupunguza kidogoo hehe nimepunguzwajeee, hadi nilinuna, sio Kwa hili bichwa khaa. But nipo busy barabarani najishauaje coz I can't wear wigs aisee teh. Nina mpango wa kuweka afro fulani hivi amazing zikikua tena
Afro ndio mpango mzima.

Mwenzio kabla sijanyoa nilifanya research ya salon ya kunyolea.
Hata nilipoenda kunyoa kinyozi alikoma,sio kwa masharti yale
Hahahaaaaaa

Poleeee ila nywele si zinakua tu fasta?Usihuzunike sana.
 
I see meeeee. Nina upara sasa hivi, na hiki kichwa kilivyo kirefu kama barabara ya Dart hehe, Godfidence yangu sio ya sport sport

Harieth Paul, levels baby levels....


Wewe bwana eti barabara ya Dart. 😀
But it's all good girl!

Hivi Harieth ana damu ya Kibongo right?
 
Afro ndio mpango mzima.

Mwenzio kabla sijanyoa nilifanya research ya salon ya kunyolea.
Hata nilipoenda kunyoa kinyozi alikoma,sio kwa masharti yale
Hahahaaaaaa

Poleeee ila nywele si zinakua tu fasta?Usihuzunike sana.
Uzuri nikinyoa zinakua fasta tu. Nilikuwa ugenini tu nikaona nizipunguze kidogo[emoji35] [emoji35]
 
I know na siku zote huwa inaniacha nikitamani iendelee na sijui kwanini wanafanya once a year, nadhani kila quarter wangefanya show na hivyo kuwa na show nne kwa mwaka, labda kwa kuwa wanahitaji miezi sita kujifua ndiyo sababu hawawezi kufanya show zaidi ya moja. Sikujua kama maandalizi yake ni muda mrefu hivyo ila huwa ni bomba sana.

Hii kazi si mchezo, wanatumia almost 6 months kujifua kwa mazoezi, to only walk for 35 secs on the Runway.
 
What is the definition of UCHI!?

atoto hebu njoo ujibu hili swali 😀

Halafu shosti inabidi na sisi tu ditch ma weave, unaona nywele fupi zilivyo tamu? watu wamejidai na natural zao humu mbona mpaka nimetamani!
 
I know na siku zote huwa inaniacha nikitamani iendelee na sijui kwanini wanafanya once a year, nadhani kila quarter wangefanya show na hivyo kuwa na show nne kwa mwaka, labda kwa kuwa wanahitaji miezi sita kujifua ndiyo sababu hawawezi kufanya show zaidi ya moja. Sikujua kama maandalizi yake ni muda mrefu hivyo ila huwa ni bomba sana.


Acha tu, huwa bomba sana.

Halafu umesemaje? eti iwe mara nne kwa mwaka. 😵
Ili uone hao wadada ndani ya hizo lingerie wakiwa nusu chiu!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
lol! hapana banaa mie napenda tu ili miondoko yao halafu inaendana na muziki unaoburudisha yaani huwa bomba sana wangeongeza hata saa moja zaidi ili yawe masaa mawili.

Acha tu, huwa bomba sana.

Halafu umesemaje? eti iwe mara nne kwa mwaka. 😵
Ili uone hao wadada ndani ya hizo lingerie wakiwa nusu chiu!
 
lol! hahahahaha BAK wa JF ama kuna BAK mwingine? kama huyu wa JF si kishaandika hapo juu kwamba show iko bomba iongezwe hata iwe ya masaa mawili lol! Mungu anakuona ujue hahahahahahah

🙂
Jibu swali langu kwanza hapo juu, yaani show ya lingerie iwe mara nne kwa mwaka ili 'BAK' afurahi right?
 
Back
Top Bottom