Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Ooh it's okay mpenzi, usijali hata.Niliwahi kuifunga,sasa mbona wengine wakini-PM naziona?
Yani hata sielewi.
Na hata juzi nimeangalia settings nikaona ziko sawa (niliacha option ya watakaoweza kuanzisha conversation na mimi ni wale niliowafollow pekee).
Pole mpendwa wangu.