Victoria Secret Fashion Show: Models With Natural Hair on the Runway

Victoria Secret Fashion Show: Models With Natural Hair on the Runway

Mambo zako wifi?, na wewe unajishauri kunyoa kama mie!, nywele fupi zina raha yake lakini kama umezoea ndefu kunyoa kunahitaji moyo sana.
My wii acha tu ni raha kweli ukiona mwingine kanyoa na amependeza...

Sasa mi nilivo kigeugeu nikinyoa baada yawiki nikiona mwingine kabana nywele zake ndefu natamani tena...chaa
 
  • Thanks
Reactions: kui
Aise mi bado sijanyoa mwenzangu... Watu wanavozionea huruma mpaka nasita sasa[emoji17]
Ukitaka kufanya lako usimsikilize mtu.
Mimi nilitaka kunyoa tokea mwaka 2013 lakini kwakuwa nilikuwa nasikiliza watu nikawa naacha.

Kuna marafiki zangu hao walikuwa wanazipenda nywele zangu kuliko ninavyozipenda mimi.Nikisema nakata watakuja nitapelekwa saloon yaaaani!

Juzi wameshtukia tu picha nimekata
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ajabu wamenisifia badala ya kuniponda.
 
Ukitaka kufanya lako usimsikilize mtu.
Mimi nilitaka kunyoa tokea mwaka 2013 lakini kwakuwa nilikuwa nasikiliza watu nikawa naacha.

Kuna marafiki zangu hao walikuwa wanazipenda nywele zangu kuliko ninavyozipenda mimi.Nikisema nakata watakuja nitapelekwa saloon yaaaani!

Juzi wameshtukia tu picha nimekata
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ajabu wamenisifia badala ya kuniponda.
Huwa nikitaka kunyoa(as i do it often) huwa sisemi, utastukia tu tayari.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uwiiiiiiii nimechekaaaaaa sana,sana.

Finally umenifuma [emoji85] [emoji85]
Teh teh teh teeeeh!!! Oooh poor naniliu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Huwa nikitaka kunyoa(as i do it often) huwa sisemi, utastukia tu tayari.
Sijui kwanini marafiki hulilia nywele za wenzao kwakweli.

Wallah kuna huyo mmoja ndiye aliyekuwa kiongozi kwenye kunibembeleza nisinyoe,akijua sijui itakuwaje!

Sure,lazima ufanye utakacho bila kushirikisha wengine ukitaka kufanikiwa,maoni ya watu yanapoteza ujue?
 
Sijui kwanini marafiki hulilia nywele za wenzao kwakweli.

Wallah kuna huyo mmoja ndiye aliyekuwa kiongozi kwenye kunibembeleza nisinyoe,akijua sijui itakuwaje!

Sure,lazima ufanye utakacho bila kushirikisha wengine ukitaka kufanikiwa,maoni ya watu yanapoteza ujue?
Washanizoea, wanastukaga tu nishanyoa. Ukiwaza sanaaaa haunyoi aisee.
 
Kuna Mbongo alishiriki jana kwenye Victoria Secret 2016 Fashin Show. Ni mbongo kwa Baba na Mama anaitwa Harriet Paul, ni model huyu anayeishi na kufanya shughuli zake New York.

 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom