Videmu vyenye Umri wa Miaka 20-24 vinasumbua sana

hao wa 25 wanaitafuta ndoa kwa udi na uvumba katika kutafuta wanashtukia ndo single mothers dada yangu usiachie mbususu kwa kila mtu tu aile kizembe utanishukuru baadae
 
So unapenda mabinti wasiolewe waishi kihuni tu wakichezewa miili yao na wapenda ngono, si ndio?!
 
Tafuta wanao jielewa,wewe ni kijana basi tafuta vijana wanajielewa kama wewe,usisumbuke na ambao bado hawajajua mahusiano ni nini.
Mbona mademu wa chuo wapo kibao tu ,hao akiri ishapata chaji tayari[emoji1]

Ila jiandae kulipia some bills
Km unataka kufa na stress chukua demu wa chuo...bora hata single mothers kuliko hao viumbe...ukiviona kule vyuoni km hawaendi chooni
 
Hivyo vya chuo si ndo viko kwenye huo huo umri mzee. Yaani vinakera, mara vikuamkie shikamoo, ili mradi tu usiviwinde.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] niamkie shikamo Baba, shikamo mama sema tena shikamo kaka shikamoo dada

Tafuta size yako acha Vitoto viliwe na vitoto vyenzao
 
Unatongoza mwanamke above 35 years hayo ni mapenzi au uokoaji ?
 
Na wanaume wa umri wa hao mabinti unaowazungumzia wanapenda kulalamikia mabinti wanapotoswa , mara subiri uzeeke na blabla nyingi.
 
DP World
 

Attachments

  • 4_5958400995800125440.mp4
    2 MB
Vijinga sana hivi vitoto halafu ukija kuuza mechi unakutana na Chlamydia Kali , gonorrhea nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…