Videmu vyenye Umri wa Miaka 20-24 vinasumbua sana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]fwala kabisa wewe
 
Kiukweli hata dem awemkali vip akiniambia tu yupo chuo yaan ni shwaaa hanioni tena hata kama nimetoka kumtongoza leo siwez date na mdada wachuo sa sibora mniuwe tu
Kwanini?
 
We ndo mwanaume sasa, siyo dume zima linaanza kulia lia kubembeleza upumbavu.
 
Kibegi kaa ngumi sasa sijui wanaweka kitu gani [emoji1]
Hakuna wadada rahisi kama wa chuo,lakini uwe makini kujichotea maradhi ni kugusa.mwanamke anakuwa ashapevuka kiakiri akiwa na miaka 22+ lakini wakati huu ndo anakuwa the most wanted na wanaume ,hivyo kumake choice inampa wakati mgumu sana hivyo mwenye kisu kikali ndo hula nyama
 
Wanaume mnajua kujipa moyo
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…