Ukweli ile hoja ilikuwa ya kijinga, ikapelekwa kwa wajinga,wakaipitisha. Hilo genge ni watu wa hovyo sana. Ni kusanyiko la wanafiki, mafisi na mafisadi walafi hawako pale kuwakilishwa wananchi bali kujaza tu matumbo yao. Walaaniwe na vizazi vyao vyote.Listen before you thank me..
Simply Mama Salma ni mjinga, aliyekuwa na wazo la kijinga, akalipeleka kwa wajinga wenzie, wakalipitisha...
Sasa kwanini unamkingia kifua huyo chirf wa ujinga?!
Ile saa ya ''binti Kidawa'' ya sh milioni mia moja umeijumlisha kwenye list kweli?Miss world ni binti mdogo aliyezaliwa masafa ya mbali na Tanzania. Alipofika Tanzania miaka minne iliyopita alitembelea Arusha na kukuta familia zisizo na uwezo wa mlo wa siku wala malazi. Watoto wengi zaidi ya asilimia 20 walibainika kutokwenda shule. Wawapo shuleni wanakosa chakula huku wakitumia muda wa zaidi ya masaa manne kwenda na manne kurejea majumbani kwao.
Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.
Kwa maana nyingine watawala tatizo la watoto kukosa shule siyo big deal bali kwao wao wanaona kama video hii inatangaza utalii. Nimesoma comment ya waziri mmoja akisifia video ile akidai imesaidia wengi kuifahamu Tanzania.
Mimi nikawa na Mtizamo tofauti; nilipoona video hii nimejiuuliza Mama Salma Kikwete anakosa nini hadi achukue fedha za wananchi maskini ziwe zake na familia yake kupitia sheria mpya aliyopenyeza bungeni ya mafao ya wenza wa viongozi?
Hao wenza wa viongozi wana umaskini gani hadi wajione wao wanafaa kulipwa mabilioni ya kodi za umma for years huku wananchi wakikosa mlo mmoja?
Huyu binti Miss Worl hana pensheni lakini ana moyo wa Mungu na upendo. Huyu binti siyo Mtanzania ila ameonyesha kujali na kuthamini uhai wa watoto wetu. Huyu binti siyo mweusi bali ametambua kila binadamu anahitaji haki ya elimu na kuishi.
Natambua wenza walio wengi ni wanawake kuliko wanaume. Natambua waliopigania kulipwa mabilioni haya ni wanawake na siyo wanaume. Natambua wanawake wote waliopigania hii hoja wamezaliwa familia bora. Natambua wanawake hawa hawajawahi kuwaza wala kufikia kusaidia yeyote kwa fedha zao kama alivyofanya huyu binti. Wengi wao utumia fedha za umma kuzifanya mali yao na kutumia miradi ya umma kama fadhila kwa jamii.
Wanawake weusi jitafakarini, waume zenu walipopata madaraka walijilimbikiza mali za umma. Mwenyenzi Mungu akakasirika na sasa wakimaliza muda wa huduma wanachokiona mbele yao ni magonjwa na hivyo vile walivyochuma kwa dhulma vimeoza na kuishia kuwatibu kuliko kuvisaza.
Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.
Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.
Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi
Hongera miss world kwakuwainua wanetu.
Kwakweli WANAVIMBIRWA 😅😅😅 !Kiukweli inasikitisha ,yaani wakati wengine wana njaa kali wachachee WANAVIMBIRWA..
Sema lawama ziende kwa hao WATAWALA waliopokea hilo WAZO bovu kabisa,na wakalipitisha..UJINGA
Unazani mwenye shibe huwa anamkumbuka mwenye njaa? Mpaka uwe na ufahamu wa ziada wakuzaliwa nao, si uliona mwingine anasema no.za magari zinaongezeka hivyo watu pesa wanazo, halafu usiwaseme wanawake tu sema mijitu maana wanaume ndiyo wenyewe huyo mama ni tone tu.
Ey, ukhnem! Ey, ukhnem!*
Once more, boys, and yet once more!
Ey, ukhnem! Ey, ukhnem!
Once more, boys, and yet once more!
As along the shores we run,
Sing our shanty in the sun.
Ai-da, da ai-da! Ai-da, da ai-da!**
Sing our shanty in the sun!
Ey, ukhnem! Ey, ukhnem!
Once more, boys, and yet once more!
Volga! Volga! Mother stream!
Oh, thou river, broad and deep!
Ai-da, da ai-da! Ai-da, da ai-da!
Once more, boys, and yet once more!
Volga! Volga! Mother stream!
Oh, thou river, broad and deep!
Ey, ukhnem! Ey, ukhnem!
Yeshcho razik, yeshcho da raz!***
Ey, ukhnem! Ey, ukhnem!
*Эй, ухнем! Эй, ухнем! (Yo, heave, ho! Yo, heave,ho!)
**Ай-да, да ай-да! Ай-да, да ай-да! (Ay-da, da, ay-da! Ay-da, da, ay-da!)
***Ещё разик, ещё да раз! (Once more, once again, still once more!
kundi la wadangaji tu hili. Wamedangaaa mtaani sasa wamepewa na ofisi za kudangia serikalinJokate
Temu
Sanare
Basila nk....nk
Dah aise umeongea kwa uchungu sana natamani wangeliona hili bandiko....Sisi ngozi nyeusi hakika tulishalaaniwa.Miss world ni binti mdogo aliyezaliwa masafa ya mbali na Tanzania. Alipofika Tanzania miaka minne iliyopita alitembelea Arusha na kukuta familia zisizo na uwezo wa mlo wa siku wala malazi. Watoto wengi zaidi ya asilimia 20 walibainika kutokwenda shule. Wawapo shuleni wanakosa chakula huku wakitumia muda wa zaidi ya masaa manne kwenda na manne kurejea majumbani kwao.
Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.
Kwa maana nyingine watawala tatizo la watoto kukosa shule siyo big deal bali kwao wao wanaona kama video hii inatangaza utalii. Nimesoma comment ya waziri mmoja akisifia video ile akidai imesaidia wengi kuifahamu Tanzania.
Mimi nikawa na Mtizamo tofauti; nilipoona video hii nimejiuuliza Mama Salma Kikwete anakosa nini hadi achukue fedha za wananchi maskini ziwe zake na familia yake kupitia sheria mpya aliyopenyeza bungeni ya mafao ya wenza wa viongozi?
Hao wenza wa viongozi wana umaskini gani hadi wajione wao wanafaa kulipwa mabilioni ya kodi za umma for years huku wananchi wakikosa mlo mmoja?
Huyu binti Miss Worl hana pensheni lakini ana moyo wa Mungu na upendo. Huyu binti siyo Mtanzania ila ameonyesha kujali na kuthamini uhai wa watoto wetu. Huyu binti siyo mweusi bali ametambua kila binadamu anahitaji haki ya elimu na kuishi.
Natambua wenza walio wengi ni wanawake kuliko wanaume. Natambua waliopigania kulipwa mabilioni haya ni wanawake na siyo wanaume. Natambua wanawake wote waliopigania hii hoja wamezaliwa familia bora. Natambua wanawake hawa hawajawahi kuwaza wala kufikia kusaidia yeyote kwa fedha zao kama alivyofanya huyu binti. Wengi wao utumia fedha za umma kuzifanya mali yao na kutumia miradi ya umma kama fadhila kwa jamii.
Wanawake weusi jitafakarini, waume zenu walipopata madaraka walijilimbikiza mali za umma. Mwenyenzi Mungu akakasirika na sasa wakimaliza muda wa huduma wanachokiona mbele yao ni magonjwa na hivyo vile walivyochuma kwa dhulma vimeoza na kuishia kuwatibu kuliko kuvisaza.
Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.
Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.
Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi
Hongera miss world kwakuwainua wanetu.
Nakubaliana na weweDunia hivi sasa ni kama tu kijiji, "limit is only the sky", ni lazima Watanzania tujipime sisi wenyewe kupitia tawala, viongozi na wananchi wa nchi nyingine. Pamoja na uwepo wa haki, maadili, kinga, pamoja na majukumu ya mbunge na bunge. Lakini, Je! Maamuzi yao kwa kiasi gani yana tija kwa mwananchi wa kawaida!?
Suala la wenza wa viongozi kupewa mafao maalum lina ukakasi mwingi sana. Mathalani, Je! Vipi kuhusu wenza wa maafisa wa vyombo vya ulinzi na usalama, ambao muda wote wa ajira zao huwakabiriwa na tishio la kudumu la uhai wao, kwa kuwa viapo vya kazi huwafanya wawe tayari kufa wakati wowote ule kwa ajili ya uzalendo kwa nchi yao!?
Mkuu, ukiwa unatanguliza usomi wako, unakuwa unazidi kuharibu kama walivyoharibu wasomi wenzako wengi walioko serikalini!Kosa lake liko wapi?? Tupunguze chuki!
Waliunga mkono kwa sababu camera zinawaona na wangepinga tu basi 2025 hawarudi.........ccm ni zaidi ya uijuavyo.Mie simlaumu salma maana yule mama hata akiongea tu unajua tu huyu.........
Ilaa hao wanaojiita wasomi walioona hilo wazo ni la maana sana hadi wakalichukua na kulifanyia kazi haraka sana. Ilihali kuna mambo mengi ya msingi kama ya kikokotoo kila mtu anajifanya halimhusu. Nchi ya hovyo sana hii.
Hakuna dhambi mbaya kama ubinafsi kwa mwenyezi Mungu. Hawa jamaa zetu wanapokufa wanachokutana nacho huko kinatisha.Ubinafsi ndio sababu kubwa inayowapofusha macho viongozi na watunga sera wetu. Hali inapelekea hadi ajira kutoangali uwezo katika kazi bali u nani wa nani.
Hakuna aliyekiona wanachokutana nacho.Hakuna dhambi mbaya kama ubinafsi kwa mwenyezi Mungu. Hawa jamaa zetu wanapokufa wanachokutana nacho huko kinatisha.
Hapo sasa. Miaka zaidi ya 60 na rasliali zote, tunashindwa kuwatibu wazee wasio na uwezo! Miaka 60 bajeti ni 9% tu inayohusu maendeleo na 91 inawahusu wao hususan maisha yao ya anasa, na bado watu wanaimba mapambio ...ama kweli tuna kazi!!Mficha uchi hazai Tanzania bado ni masikini huo ndio ukweli miaka 20 iliyopita kulikuwa na issue ya mapanki.
Mpaka yule mwandishi akaletewa mizengwe ila ukweli tulikiwa tunakula mapanki
Hawa wanafanya hivi kutusaidia huu ndio uhalisia wa maisha yetu !!!!
Mpaka uwa najiuliza miaka 60 ya Uhuru Nyerere, mwinyi, Mkapa, kikwete, Magufuli na Samia walishindwa nini kusolve tatizo la msingi ambalo ni umasikini.!! ?
Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.
Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.
Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi
Hongera miss world kwakuwainua wanetu.
Tukisema serikali na viongozi wa CCM wameoza mapopoma kuna nyumbu wanakuja kutetea na kung'aka humu ndani.Miss world ni binti mdogo aliyezaliwa masafa ya mbali na Tanzania. Alipofika Tanzania miaka minne iliyopita alitembelea Arusha na kukuta familia zisizo na uwezo wa mlo wa siku wala malazi. Watoto wengi zaidi ya asilimia 20 walibainika kutokwenda shule. Wawapo shuleni wanakosa chakula huku wakitumia muda wa zaidi ya masaa manne kwenda na manne kurejea majumbani kwao.
Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.
Kwa maana nyingine watawala tatizo la watoto kukosa shule siyo big deal bali kwao wao wanaona kama video hii inatangaza utalii. Nimesoma comment ya waziri mmoja akisifia video ile akidai imesaidia wengi kuifahamu Tanzania.
Mimi nikawa na Mtizamo tofauti; nilipoona video hii nimejiuuliza Mama Salma Kikwete anakosa nini hadi achukue fedha za wananchi maskini ziwe zake na familia yake kupitia sheria mpya aliyopenyeza bungeni ya mafao ya wenza wa viongozi?
Hao wenza wa viongozi wana umaskini gani hadi wajione wao wanafaa kulipwa mabilioni ya kodi za umma for years huku wananchi wakikosa mlo mmoja?
Huyu binti Miss Worl hana pensheni lakini ana moyo wa Mungu na upendo. Huyu binti siyo Mtanzania ila ameonyesha kujali na kuthamini uhai wa watoto wetu. Huyu binti siyo mweusi bali ametambua kila binadamu anahitaji haki ya elimu na kuishi.
Natambua wenza walio wengi ni wanawake kuliko wanaume. Natambua waliopigania kulipwa mabilioni haya ni wanawake na siyo wanaume. Natambua wanawake wote waliopigania hii hoja wamezaliwa familia bora. Natambua wanawake hawa hawajawahi kuwaza wala kufikia kusaidia yeyote kwa fedha zao kama alivyofanya huyu binti. Wengi wao utumia fedha za umma kuzifanya mali yao na kutumia miradi ya umma kama fadhila kwa jamii.
Wanawake weusi jitafakarini, waume zenu walipopata madaraka walijilimbikiza mali za umma. Mwenyenzi Mungu akakasirika na sasa wakimaliza muda wa huduma wanachokiona mbele yao ni magonjwa na hivyo vile walivyochuma kwa dhulma vimeoza na kuishia kuwatibu kuliko kuvisaza.
Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.
Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.
Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi
Hongera miss world kwakuwainua wanetu.