Video aliyorusha Miss World kuhusu hali ya umaskini Tanzania; Mama Salma na wenza wa viongozi wa Tanzania bado wanaona ni sahihi kulipwa mabilioni?

Video aliyorusha Miss World kuhusu hali ya umaskini Tanzania; Mama Salma na wenza wa viongozi wa Tanzania bado wanaona ni sahihi kulipwa mabilioni?

We nawe umetokea wapi ghafla na akili kama hizi, maandiko mengine msiwe mnajibu maana ni kujidhalilisha, hili sio bandiko la kujibu kwa akili za kisoda, jaribu kufikiria wadogo zetu wanaotembea matako wazi kuwa uchakavu wa uniform, halafu mtazame huyo mama unayemtetea anahitaji mafao ya nini tena kama sio ulafi.
 
Mkuu;

Hoja ya yako sio video ya huyo Miss world ila umejiegesha kwenye hiyo habari ili umseme mama Salma Kikwete.

Hii inaonesha ni jinsi gani huna uelewa mzuri wa haki, madaraka, kazi na majukumu ya bunge na mbunge.

Pia huna taarifa sahihi kuhusu taratibu na hatua za kutunga na kupitisha sheria bungeni na kwa kwa ujumla namna bunge linavyojiendesha.

Nakushauri upitie katiba na kanuni za bunge kabla ya kunyoshea watu vidole!

Mheshimiwa Salma kama mbunge alitumia haki yake kupeleka hoja hiyo bungeni, ikapolewa na kuandaliwa kupitia ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali na kurudishwa bungeni ambapo ilipitishwa na wabunge wengi bungeni.

Kosa lake liko wapi?? Tupunguze chuki!
Unaongea UFALA gani we jamaa???
Kwahiyo kisa ana haki basi ndio apeleke mpaka muswada wa kipuuzi na wa kinyonyezi kama huo???
Unajua ni pesa kiasi gani hao kina mama watalimbikizwa na kuongeza bajeti ya serikali ilhali hawana uhitaji??
 
Mkuu, ukiwa unatanguliza usomi wako, unakuwa unazidi kuharibu kama walivyoharibu wasomi wenzako wengi walioko serikalini!

Amekosa nini?

Anajua kuwa kuna waliotumika na serikali physically kwa miaka zaidi ya 30 na wanalipwa 30m tu kama kiinua mgongo kwa miaka hiyo yote na kisha kupewa 33% ya mshahara wake kama monthly pension kwa miaka 12 tu? Ilhali yeye, MUME wake analipwa 80% ya mshahara wa aliyeko madarakani?

Yeye akipewa TAASISI iliyokuwa inavuna pesa kwa jina la serikali na nafasi ya mume wake!

Unajua kwanini Magufuli aliamua kushusha mshahara wake? Akilipwa yeye tsh 9m, maana yake wastaafu wanalipwa 80% ya 9m, akilipwa tsh 35m aliyoiacha Kikwete, ina maana jamaa wanachukua tsh 28m, kisha na yeye anataka alipwe ngapi ikiwa alinufaika kwa asilimia kubwa sana ya madaraka yale?

Angeweza kujimilikisha mali zote bila hiyi nafasi?

Unadhani mwalimu au mkurugenzi wa wilaya anayo nafasi ya kupeleka hoja ya kuwanufaisha wenza wao na ikapita?

Unadhani wehu wanaoingia mjengoni ni watu wanaweza kubadilika na kuwa timamu?

Unadhani akina Doto magari, Mwijaku, Baba Levo n.k.wanaweza kuwa think tank? Maana ndo hao walio mjengoni!

Mwisho, ni dhahiri shayiri na wewe ni mwanachama!
Mkuu licha ya Salma kupeleka hoja bungeni hana mamlaka wala nguvu ya kupitisha sheria bungeni!

Basi tuseme alikuwa na ushawishi mkubwa au aliwahonga wabunge wote kuipitisha, je kwa Raisi alifanyaje Mpaka akasaini? Kimsingi katetea vizuri wenzi wa wastaafu viongozi!

Tusisahau kuwa nao ni binadamu wanapitia magumu kama sisi, ndoa zao ni hizi hizi za spana mkononi na ni watanzania pia.

Hakuna kati yetu aliye wahi kuwa mwenzi wa rais au kiongozi wa juu akafahamu mzigo, ugumu au changamoto wanazopitia katika mazingira hayo!

Kama tunaona wanachopata hawastahili au ni kikubwa tufuate utaratibu wa kupinga mahakamani au tutumie wabunge wetu wapeleke hoja bungeni ya kupunguza mishahara ya viongozi hao! Au tuingie barabarani!

Kwa sasa upende usipende imeenda hiyo!!
 
Unaongea UFALA gani we jamaa???
Kwahiyo kisa ana haki basi ndio apeleke mpaka muswada wa kipuuzi na wa kinyonyezi kama huo???
Unajua ni pesa kiasi gani hao kina mama watalimbikizwa na kuongeza bajeti ya serikali ilhali hawana uhitaji??
Mkuu huo unaitwa wivu na chuki ya kike! Ukubali ukatae hiyo imeenda!
 
Kupitia sheria ile jiulize familia ya Mwinyi inalipwa kiasi gani?

Jiulize familia ya JK inalipwa kiasi gani?

Few years to come utakuta familia moja inalipwa zaidi ya bilioni kumi kwa mwaka mmoja bila kufanya kazi wamekaa tu nyumbani kama wastaafu.

Hawa wanasiasa wanawake wanatamaa sana kwa sababu hakuna hata mmoja mwenye biashara yoyote anayoendesha. Wote hawa hakuna anayelazimika kulipa kodi wanaishi mostly kwa utegemezi that's why wanawaza wakistaafu wataoshije......huko duniani madaraka yanakabidhiwa kwa familia zenye kulipa kodi na zinazofahamu maana ya kutafuta fedha.

Sorry to say but wanawake wamegeuka kuwa na tamaa ya vitu vya bure na hivyo kuongeza utegemezi.....wanawaza kuhudumiwa
Mkuu unaogopa nguvu ya mwanamke, unaumia mwanamke kupata hela! Kwa nini usihoji kiasi anachopata raisi!
 
Mkuu licha ya Salma kupeleka hoja bungeni hana mamlaka wala nguvu ya kupitisha sheria bungeni!

Basi tuseme alikuwa na ushawishi mkubwa au aliwahonga wabunge wote kuipitisha, je kwa Raisi alifanyaje Mpaka akasaini? Kimsingi katetea vizuri wenzi wa wastaafu viongozi!

Tusisahau kuwa nao ni binadamu wanapitia magumu kama sisi, ndoa zao ni hizi hizi za spana mkononi na ni watanzania pia.

Hakuna kati yetu aliye wahi kuwa mwenzi wa rais au kiongozi wa juu akafahamu mzigo, ugumu au changamoto wanazopitia katika mazingira hayo!

Kama tunaona wanachopata hawastahili au ni kikubwa tufuate utaratibu wa kupinga mahakamani au tutumie wabunge wetu wapeleke hoja bungeni ya kupunguza mishahara ya viongozi hao! Au tuingie barabarani!

Kwa sasa upended usipende imeenda hiyo!!
Unaonekana kuguswa Sana na hili suala la pension kwa wake wa wastaafu na kuona kuwa wanastahili!
Salma alikuwa mwalimu na mmewe alipopata nafasi ya urais yeye alistaafu kazi ya ualimu na kulipwa mafao yake yote na aliendelea kulipwa pension ya kila mwezi.
Naiuliza, ni sahihi yeye kulipwa pension za aina mbili tofauti.? Au Kuna inayokoma kupisha nyingine?
Kama anapokea zote, Sheria inasemaje?
 
Unaonekana kuguswa Sana na hili suala la pension kwa wake wa wastaafu na kuona kuwa wanastahili!
Salma alikuwa mwalimu na mmewe alipopata nafasi ya urais yeye alistaafu kazi ya ualimu na kulipwa mafao yake yote na aliendelea kulipwa pension ya kila mwezi.
Naiuliza, ni sahihi yeye kulipwa pension za aina mbili tofauti.? Au Kuna inayokoma kupisha nyingine?
Kama anapokea zote, Sheria inasemaje?
🙏
 
Toka mwaka jana na mwaka uanze sijasoma bandiko lenye madini km hili.!!
Umeongea ukweli mtupu mkuu, hii nchi ukiifikiria sana unaweza kupata vidonda vya tumbo. Watawala wetu ni jau sana.
Huyo waziri ndio kaonyesha ujinga kabisaaa!!
Hivi mtu anaonyesha matatizo mliyonayo halafu bila aibu anasema anatangaza utalii!! Umaskini wa wananchi ss hivi umekuwa utalii kweli???
 
Mkuu;

Hoja ya yako sio video ya huyo Miss world ila umejiegesha kwenye hiyo habari ili umseme mama Salma Kikwete.

Hii inaonesha ni jinsi gani huna uelewa mzuri wa haki, madaraka, kazi na majukumu ya bunge na mbunge.

Pia huna taarifa sahihi kuhusu taratibu na hatua za kutunga na kupitisha sheria bungeni na kwa kwa ujumla namna bunge linavyojiendesha.

Nakushauri upitie katiba na kanuni za bunge kabla ya kunyoshea watu vidole!

Mheshimiwa Salma kama mbunge alitumia haki yake kupeleka hoja hiyo bungeni, ikapolewa na kuandaliwa kupitia ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali na kurudishwa bungeni ambapo ilipitishwa na wabunge wengi bungeni.

Kosa lake liko wapi?? Tupunguze chuki!
🙏
 
Back
Top Bottom