Video aliyorusha Miss World kuhusu hali ya umaskini Tanzania; Mama Salma na wenza wa viongozi wa Tanzania bado wanaona ni sahihi kulipwa mabilioni?

Video aliyorusha Miss World kuhusu hali ya umaskini Tanzania; Mama Salma na wenza wa viongozi wa Tanzania bado wanaona ni sahihi kulipwa mabilioni?

Wageni wakija kwetu wanatushangaa na umaskini wetu, ajabu sisi na viongozi wetu hatuna habari miguu juu, na hata miss Tanzania wetu aliyetumwa huko naamini nae atakuwa anamshangaa huyo miss world kushobokea mambo yetu ya ndani.
 
Mkuu;

Hoja ya yako sio video ya huyo Miss world ila umejiegesha kwenye hiyo habari ili umseme mama Salma Kikwete.

Hii inaonesha ni jinsi gani huna uelewa mzuri wa haki, madaraka, kazi na majukumu ya bunge na mbunge.

Pia huna taarifa sahihi kuhusu taratibu na hatua za kutunga na kupitisha sheria bungeni na kwa kwa ujumla namna bunge linavyojiendesha.

Nakushauri upitie katiba na kanuni za bunge kabla ya kunyoshea watu vidole!

Mheshimiwa Salma kama mbunge alitumia haki yake kupeleka hoja hiyo bungeni, ikapolewa na kuandaliwa kupitia ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali na kurudishwa bungeni ambapo ilipitishwa na wabunge wengi bungeni.

Kosa lake liko wapi?? Tupunguze chuki!
Seriously unatetea ule ujinga wa yule Mama?

Sitashangaa miss world akirudi tena huku akienda kwao atakuhurumia nawe kwa huu ujinga wako..

Time will tell.
 
Mkuu umewalaani kabisa?
Dunia hivi sasa ni kama tu kijiji, "limit is only the sky", ni lazima Watanzania tujipime sisi wenyewe kupitia tawala, viongozi na wananchi wa nchi nyingine. Pamoja na uwepo wa haki, maadili, kinga, pamoja na majukumu ya mbunge na bunge. Lakini, Je! Maamuzi yao kwa kiasi gani yana tija kwa mwananchi wa kawaida!?

Suala la wenza wa viongozi kupewa mafao maalum lina ukakasi mwingi sana. Mathalani, Je! Vipi kuhusu wenza wa maafisa wa vyombo vya ulinzi na usalama, ambao muda wote wa ajira zao huwakabiriwa na tishio la kudumu la uhai wao, kwa kuwa viapo vya kazi huwafanya wawe tayari kufa wakati wowote ule kwa ajili ya uzalendo kwa nchi yao!?
 
Miss world ni binti mdogo aliyezaliwa masafa ya mbali na Tanzania. Alipofika Tanzania miaka minne iliyopita alitembelea Arusha na kukuta familia zisizo na uwezo wa mlo wa siku wala malazi. Watoto wengi zaidi ya asilimia 20 walibainika kutokwenda shule. Wawapo shuleni wanakosa chakula huku wakitumia muda wa zaidi ya masaa manne kwenda na manne kurejea majumbani kwao.

Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.

Kwa maana nyingine watawala tatizo la watoto kukosa shule siyo big deal bali kwao wao wanaona kama video hii inatangaza utalii. Nimesoma comment ya waziri mmoja akisifia video ile akidai imesaidia wengi kuifahamu Tanzania.

Mimi nikawa na Mtizamo tofauti; nilipoona video hii nimejiuuliza Mama Salma Kikwete anakosa nini hadi achukue fedha za wananchi maskini ziwe zake na familia yake kupitia sheria mpya aliyopenyeza bungeni ya mafao ya wenza wa viongozi?

Hao wenza wa viongozi wana umaskini gani hadi wajione wao wanafaa kulipwa mabilioni ya kodi za umma for years huku wananchi wakikosa mlo mmoja?

Huyu binti Miss Worl hana pensheni lakini ana moyo wa Mungu na upendo. Huyu binti siyo Mtanzania ila ameonyesha kujali na kuthamini uhai wa watoto wetu. Huyu binti siyo mweusi bali ametambua kila binadamu anahitaji haki ya elimu na kuishi.

Natambua wenza walio wengi ni wanawake kuliko wanaume. Natambua waliopigania kulipwa mabilioni haya ni wanawake na siyo wanaume. Natambua wanawake wote waliopigania hii hoja wamezaliwa familia bora. Natambua wanawake hawa hawajawahi kuwaza wala kufikia kusaidia yeyote kwa fedha zao kama alivyofanya huyu binti. Wengi wao utumia fedha za umma kuzifanya mali yao na kutumia miradi ya umma kama fadhila kwa jamii.

Wanawake weusi jitafakarini, waume zenu walipopata madaraka walijilimbikiza mali za umma. Mwenyenzi Mungu akakasirika na sasa wakimaliza muda wa huduma wanachokiona mbele yao ni magonjwa na hivyo vile walivyochuma kwa dhulma vimeoza na kuishia kuwatibu kuliko kuvisaza.

Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.

Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.

Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi

Hongera miss world kwakuwainua wanetu.
Umeongea point sana yani nchi imejaa unafiki sana mtu ukiongea ukweli unaonekana mpinzani ukweli kama huu viongozi wetu hawautaki tupo kinafiki sana unakuta mwalimu analalamika ajalipwa hela ya likizo mwalimu huyo huyo anachanga hela ya kumchangia kiongozi ya kugombea uraisi mwakani
 
Picha, tafadhali..!

1710080569221.png

Miss World 2024 WINNING akizungumza: Krystyna Pyszková kutoka Czech Republic kuhusu ndoto ya elimu inayopotea jinsi inavyoumiza kama mkuki moyoni

Mrembo aliyeguswa na ndoto za mtoto wa kitanzania jinsi zinavyozidi kupotea kwa kukosa fursa ya kuendelea na elimu kutokana na sababu mbalimbali, na si mtoto tu hata wazazi nao wanaina kipaji katika mtoto wao lakini kutokana na sababu kadhaa ndoto hiyo hufa. Jamii inatakiwa kujitolea ili fursa hii ya msingi kabisa ya elimu isiishie njiani anasisitiza mrembo miss World 2024 Krystyna Pyszková kutoka Czech anapigia chapuo mradi huo wa elimu hadi mtoto ashindwe mwenyewe na siyo kutokana na vikwazo vingine.
1710081332444.png

Krystyna believes that education is a fundamental right that every child deserves, regardless of their background or circumstances. However, access to education still remains a challenge for many of the world's children, especially in these rural areas. That's why she decided to start with a school construction, to be able to provide quality education for the children. In July 2022, a completely new fully equipped school was opened in Tanzania, where Krystyna and the team currently guide 320 children to a brighter future through their educational programs and English classes. The cost to study English in language centers in cities or to hire tutors is not affordable to people in difficult circumstances.​

In July 2022, a completely new fully equipped school was opened in Tanzania, where Krystyna and the team currently guide 320 children to a brighter future through their educational programs and English classes. The cost to study English in language centers in cities or to hire tutors is not affordable to people in difficult circumstances.

In the school, they developed the Free English Class project with 4 programs in Tanzania:
Direct English teaching program

- Volunteer Exchange program

- Lunch service program

- Water Management program

With the direct English teaching program local teachers were arranged to provide classes in the newly built school.

Miss World 2024 WINNING answer: Krystyna Pyszková from Czech Republic


View: https://m.youtube.com/watch?v=qoXQfBlIvnY
Krystyna Pyszková is a young woman from Třinec who has a passion for learning and exploring. She is 181 cm tall and has a slim figure with 86-59-89 measurements. She is currently pursuing a law degree at Charles University, as well as studying marketing in Austria. She has a creative side and enjoys painting and playing musical instruments such as the flute and the violin. She is also a model and has a humanitarian project to educate children in Tanzania. She loves to travel and learn about different cultures, people, and places. She also likes to keep fit, ride horses, and improve herself.
Source : Prague Post.
 
Miss world ni binti mdogo aliyezaliwa masafa ya mbali na Tanzania. Alipofika Tanzania miaka minne iliyopita alitembelea Arusha na kukuta familia zisizo na uwezo wa mlo wa siku wala malazi. Watoto wengi zaidi ya asilimia 20 walibainika kutokwenda shule. Wawapo shuleni wanakosa chakula huku wakitumia muda wa zaidi ya masaa manne kwenda na manne kurejea majumbani kwao.

Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.

Kwa maana nyingine watawala tatizo la watoto kukosa shule siyo big deal bali kwao wao wanaona kama video hii inatangaza utalii. Nimesoma comment ya waziri mmoja akisifia video ile akidai imesaidia wengi kuifahamu Tanzania.

Mimi nikawa na Mtizamo tofauti; nilipoona video hii nimejiuuliza Mama Salma Kikwete anakosa nini hadi achukue fedha za wananchi maskini ziwe zake na familia yake kupitia sheria mpya aliyopenyeza bungeni ya mafao ya wenza wa viongozi?

Hao wenza wa viongozi wana umaskini gani hadi wajione wao wanafaa kulipwa mabilioni ya kodi za umma for years huku wananchi wakikosa mlo mmoja?

Huyu binti Miss Worl hana pensheni lakini ana moyo wa Mungu na upendo. Huyu binti siyo Mtanzania ila ameonyesha kujali na kuthamini uhai wa watoto wetu. Huyu binti siyo mweusi bali ametambua kila binadamu anahitaji haki ya elimu na kuishi.

Natambua wenza walio wengi ni wanawake kuliko wanaume. Natambua waliopigania kulipwa mabilioni haya ni wanawake na siyo wanaume. Natambua wanawake wote waliopigania hii hoja wamezaliwa familia bora. Natambua wanawake hawa hawajawahi kuwaza wala kufikia kusaidia yeyote kwa fedha zao kama alivyofanya huyu binti. Wengi wao utumia fedha za umma kuzifanya mali yao na kutumia miradi ya umma kama fadhila kwa jamii.

Wanawake weusi jitafakarini, waume zenu walipopata madaraka walijilimbikiza mali za umma. Mwenyenzi Mungu akakasirika na sasa wakimaliza muda wa huduma wanachokiona mbele yao ni magonjwa na hivyo vile walivyochuma kwa dhulma vimeoza na kuishia kuwatibu kuliko kuvisaza.

Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.

Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.

Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi

Hongera miss world kwakuwainua wanetu.
uafrika ni LAANA
 
Listen before you thank me..

Simply Mama Salma ni mjinga, aliyekuwa na wazo la kijinga, akalipeleka kwa wajinga wenzie, wakalipitisha...

Sasa kwanini unamkingia kifua huyo chirf wa ujinga?!
🙏📝
 
Miss world ni binti mdogo aliyezaliwa masafa ya mbali na Tanzania. Alipofika Tanzania miaka minne iliyopita alitembelea Arusha na kukuta familia zisizo na uwezo wa mlo wa siku wala malazi. Watoto wengi zaidi ya asilimia 20 walibainika kutokwenda shule. Wawapo shuleni wanakosa chakula huku wakitumia muda wa zaidi ya masaa manne kwenda na manne kurejea majumbani kwao.

Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.

Kwa maana nyingine watawala tatizo la watoto kukosa shule siyo big deal bali kwao wao wanaona kama video hii inatangaza utalii. Nimesoma comment ya waziri mmoja akisifia video ile akidai imesaidia wengi kuifahamu Tanzania.

Mimi nikawa na Mtizamo tofauti; nilipoona video hii nimejiuuliza Mama Salma Kikwete anakosa nini hadi achukue fedha za wananchi maskini ziwe zake na familia yake kupitia sheria mpya aliyopenyeza bungeni ya mafao ya wenza wa viongozi?

Hao wenza wa viongozi wana umaskini gani hadi wajione wao wanafaa kulipwa mabilioni ya kodi za umma for years huku wananchi wakikosa mlo mmoja?

Huyu binti Miss Worl hana pensheni lakini ana moyo wa Mungu na upendo. Huyu binti siyo Mtanzania ila ameonyesha kujali na kuthamini uhai wa watoto wetu. Huyu binti siyo mweusi bali ametambua kila binadamu anahitaji haki ya elimu na kuishi.

Natambua wenza walio wengi ni wanawake kuliko wanaume. Natambua waliopigania kulipwa mabilioni haya ni wanawake na siyo wanaume. Natambua wanawake wote waliopigania hii hoja wamezaliwa familia bora. Natambua wanawake hawa hawajawahi kuwaza wala kufikia kusaidia yeyote kwa fedha zao kama alivyofanya huyu binti. Wengi wao utumia fedha za umma kuzifanya mali yao na kutumia miradi ya umma kama fadhila kwa jamii.

Wanawake weusi jitafakarini, waume zenu walipopata madaraka walijilimbikiza mali za umma. Mwenyenzi Mungu akakasirika na sasa wakimaliza muda wa huduma wanachokiona mbele yao ni magonjwa na hivyo vile walivyochuma kwa dhulma vimeoza na kuishia kuwatibu kuliko kuvisaza.

Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.

Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.

Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi

Hongera miss world kwakuwainua wanetu.
Hakuna link
Hakuna picha
Hakuna video

Huu uzi haujafunguliwa na mtu anayejitambua.

Unajidhalilisha kwa maandiko mareefu yaliyojaa uongo na uzandiki
 
Unazani mwenye shibe huwa anamkumbuka mwenye njaa? Mpaka uwe na ufahamu wa ziada wakuzaliwa nao, si uliona mwingine anasema no.za magari zinaongezeka hivyo watu pesa wanazo, halafu usiwaseme wanawake tu sema mijitu maana wanaume ndiyo wenyewe huyo mama ni tone tu.
 
Mficha uchi hazai Tanzania bado ni masikini huo ndio ukweli miaka 20 iliyopita kulikuwa na issue ya mapanki.

Mpaka yule mwandishi akaletewa mizengwe ila ukweli tulikiwa tunakula mapanki

Hawa wanafanya hivi kutusaidia huu ndio uhalisia wa maisha yetu !!!!

Mpaka uwa najiuliza miaka 60 ya Uhuru Nyerere, mwinyi, Mkapa, kikwete, Magufuli na Samia walishindwa nini kusolve tatizo la msingi ambalo ni umasikini.!! ?
Tatizo la msingi hapa nchini ni UJINGA na huu wameukumbatia watawala

Kuna mtu kasema hapo juu kuna waziri kapongeza hiyo makala ya miss kwa kuitangaza Tanzania duniani

Siyo sifa njema kutangazwa kwa umaskini hata kama wewe ni maskini

Hili swala lingetakiwa liwasikitishe viongozi wetu kwamba wemeshindwa kutatua matatizo yetu mpaka binti mdogo toka mbali yeye na marafiki zake wanakuja kututatulia changamoto zetu na serikali hipo bunge lipo wanachowaza ni posho marupurupu na ten pacent.
 
Mficha uchi hazai Tanzania bado ni masikini huo ndio ukweli miaka 20 iliyopita kulikuwa na issue ya mapanki.

Mpaka yule mwandishi akaletewa mizengwe ila ukweli tulikiwa tunakula mapanki

Hawa wanafanya hivi kutusaidia huu ndio uhalisia wa maisha yetu !!!!

Mpaka uwa najiuliza miaka 60 ya Uhuru Nyerere, mwinyi, Mkapa, kikwete, Magufuli na Samia walishindwa nini kusolve tatizo la msingi ambalo ni umasikini.!! ?
Wanasiasa wa kiafrika wanajifikiria wenyewe tu
 
Kupitia sheria ile jiulize familia ya Mwinyi inalipwa kiasi gani?

Jiulize familia ya JK inalipwa kiasi gani?

Few years to come utakuta familia moja inalipwa zaidi ya bilioni kumi kwa mwaka mmoja bila kufanya kazi wamekaa tu nyumbani kama wastaafu.

Hawa wanasiasa wanawake wanatamaa sana kwa sababu hakuna hata mmoja mwenye biashara yoyote anayoendesha. Wote hawa hakuna anayelazimika kulipa kodi wanaishi mostly kwa utegemezi that's why wanawaza wakistaafu wataoshije......huko duniani madaraka yanakabidhiwa kwa familia zenye kulipa kodi na zinazofahamu maana ya kutafuta fedha.

Sorry to say but wanawake wamegeuka kuwa na tamaa ya vitu vya bure na hivyo kuongeza utegemezi.....wanawaza kuhudumiwa
 
Mkuu;

Hoja ya yako sio video ya huyo Miss world ila umejiegesha kwenye hiyo habari ili umseme mama Salma Kikwete.

Hii inaonesha ni jinsi gani huna uelewa mzuri wa haki, madaraka, kazi na majukumu ya bunge na mbunge.

Pia huna taarifa sahihi kuhusu taratibu na hatua za kutunga na kupitisha sheria bungeni na kwa kwa ujumla namna bunge linavyojiendesha.

Nakushauri upitie katiba na kanuni za bunge kabla ya kunyoshea watu vidole!

Mheshimiwa Salma kama mbunge alitumia haki yake kupeleka hoja hiyo bungeni, ikapolewa na kuandaliwa kupitia ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali na kurudishwa bungeni ambapo ilipitishwa na wabunge wengi bungeni.

Kosa lake liko wapi?? Tupunguze chuki!
Kosa lake ni ulafi. Zaidi ya kulala kitanda kimoja (kama ilikuwa) na JK amechangia nini Tanzania?
 
Back
Top Bottom