Watanzania masikini ni kivutio kwa wageni ndio maana viongozi wakienda kuomba msaada wanapendeza sana, lakini wanasema wanaowawakilisha wana hali mbaya.πToka mwaka jana na mwaka uanze sijasoma bandiko lenye madini km hili.!!
Umeongea ukweli mtupu mkuu, hii nchi ukiifikiria sana unaweza kupata vidonda vya tumbo. Watawala wetu ni jau sana.
Huyo waziri ndio kaonyesha ujinga kabisaaa!!
Hivi mtu anaonyesha matatizo mliyonayo halafu bila aibu anasema anatangaza utalii!! Umaskini wa wananchi ss hivi umekuwa utalii kweli???
Wewe una Akili kweli? Au ubongo wako umejaa matope kosa hulioni watu wachache kupewa Mabillion wale na familia zao huku mamillion ya watu wakipitia Maisha ya msoto kwako hio ni Sawa? Kwanini hizo Pesa zisiende kusaidia watu km hao wenye uhitaji kwanini asingepeleka muswaada wa kusaidia watu km hao angepungukiwa nini? Kuna mjinga mwingine anataka Bunge liishinikize Serikali inunue Ndege ya Bunge Ndege kwa ajili ya wabungeMheshimiwa Salma kama mbunge alitumia haki yake kupeleka hoja hiyo bungeni, ikapolewa na kuandaliwa kupitia ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali na kurudishwa bungeni ambapo ilipitishwa na wabunge wengi bungeni.
Kosa lake liko wapi?? Tupunguze chuki!
πWewe una Akili kweli? Au ubongo wako umejaa matope kosa hulioni watu wachache kupewa Mabillion wale na familia zao huku mamillion ya watu wakipitia Maisha ya msoto kwako hio ni Sawa? Kwanini hizo Pesa zisiende kusaidia watu km hao wenye uhitaji kwanini asingepeleka muswaada wa kusaidia watu km hao angepungukiwa nini? Kuna mjinga mwingine anataka Bunge liishinikize Serikali inunue Ndege ya Bunge Ndege kwa ajili ya wabunge
Ni huzuni kwa kweli, yani umaskini wetu viongozi wanasema kivutio cha utalii badala ya kuona aibu πWatanzania masikini ni kivutio kwa wageni ndio maana viongozi wakienda kuomba msaada wanapendeza sana, lakini wanasema wanaowawakilisha wana hali mbaya.π
Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.
Mkuu sikufichiMkuu;
Hoja ya yako sio video ya huyo Miss world ila umejiegesha kwenye hiyo habari ili umseme mama Salma Kikwete.
Hii inaonesha ni jinsi gani huna uelewa mzuri wa haki, madaraka, kazi na majukumu ya bunge na mbunge.
Pia huna taarifa sahihi kuhusu taratibu na hatua za kutunga na kupitisha sheria bungeni na kwa kwa ujumla namna bunge linavyojiendesha.
Nakushauri upitie katiba na kanuni za bunge kabla ya kunyoshea watu vidole!
Mheshimiwa Salma kama mbunge alitumia haki yake kupeleka hoja hiyo bungeni, ikapolewa na kuandaliwa kupitia ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali na kurudishwa bungeni ambapo ilipitishwa na wabunge wengi bungeni.
Kosa lake liko wapi?? Tupunguze chuki!
πMkuu sikufichi
Tangu huu mwaka uanze wewe ndiyo mtu mjinga kuliko wote niliowahi kuwaona ..!
Hiii nchi acha tuWamemchangia 120 million kumchukulia fomu
Empty head[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Mkuu;
Hoja ya yako sio video ya huyo Miss world ila umejiegesha kwenye hiyo habari ili umseme mama Salma Kikwete.
Hii inaonesha ni jinsi gani huna uelewa mzuri wa haki, madaraka, kazi na majukumu ya bunge na mbunge.
Pia huna taarifa sahihi kuhusu taratibu na hatua za kutunga na kupitisha sheria bungeni na kwa kwa ujumla namna bunge linavyojiendesha.
Nakushauri upitie katiba na kanuni za bunge kabla ya kunyoshea watu vidole!
Mheshimiwa Salma kama mbunge alitumia haki yake kupeleka hoja hiyo bungeni, ikapolewa na kuandaliwa kupitia ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali na kurudishwa bungeni ambapo ilipitishwa na wabunge wengi bungeni.
Kosa lake liko wapi?? Tupunguze chuki!
Tatizo lilianzia pale tulipo waondoa wapinzani bungeniHicho alichokifikiria na kukipeleka Bungeni kama wazo ndio tatizo, tena kubwa sana. Linaonesha how greedy she is,on behalf of other women wake za wakuu na wote watakaostahili hayo malipo.
ππEmpty head[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Katika mafirst lady wote waliowahi kutokea Tanzania nadhani huyo ndiye aliyekuwa bure kabisa, yeye alijifikiria yetye tu.Salma hajawahi kuwa na akili kama mumewe
π€Katika mafirst lady wote waliowahi kutokea Tanzania nadhani huyo ndiye aliyekuwa bure kabisa, yeye alijifikiria yetye tu.
Upo sahihi kabasa,Katika mafirst lady wote waliowahi kutokea Tanzania nadhani huyo ndiye aliyekuwa bure kabisa, yeye alijifikiria yetye tu.
Tatizo NI WABUNGE kuwa na TAMAA, hujawahi kujiuliza kwanini Sheria haingazii kwanini MTU astaafu utumishi wa umma alafu aingie kugombea aendelee KUIBA Tu..mfano KIMEI amekuwa boss wa bank muda mrefu ,mfumo ukaona inatosha astaafu, alafu yeye anakwenda bungeni Kula pesa za bure Tu..wako wengi wabinafsi..." If you want a peace start a war"Miss world ni binti mdogo aliyezaliwa masafa ya mbali na Tanzania. Alipofika Tanzania miaka minne iliyopita alitembelea Arusha na kukuta familia zisizo na uwezo wa mlo wa siku wala malazi. Watoto wengi zaidi ya asilimia 20 walibainika kutokwenda shule. Wawapo shuleni wanakosa chakula huku wakitumia muda wa zaidi ya masaa manne kwenda na manne kurejea majumbani kwao.
Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.
Kwa maana nyingine watawala tatizo la watoto kukosa shule siyo big deal bali kwao wao wanaona kama video hii inatangaza utalii. Nimesoma comment ya waziri mmoja akisifia video ile akidai imesaidia wengi kuifahamu Tanzania.
Mimi nikawa na Mtizamo tofauti; nilipoona video hii nimejiuuliza Mama Salma Kikwete anakosa nini hadi achukue fedha za wananchi maskini ziwe zake na familia yake kupitia sheria mpya aliyopenyeza bungeni ya mafao ya wenza wa viongozi?
Hao wenza wa viongozi wana umaskini gani hadi wajione wao wanafaa kulipwa mabilioni ya kodi za umma for years huku wananchi wakikosa mlo mmoja?
Huyu binti Miss Worl hana pensheni lakini ana moyo wa Mungu na upendo. Huyu binti siyo Mtanzania ila ameonyesha kujali na kuthamini uhai wa watoto wetu. Huyu binti siyo mweusi bali ametambua kila binadamu anahitaji haki ya elimu na kuishi.
Natambua wenza walio wengi ni wanawake kuliko wanaume. Natambua waliopigania kulipwa mabilioni haya ni wanawake na siyo wanaume. Natambua wanawake wote waliopigania hii hoja wamezaliwa familia bora. Natambua wanawake hawa hawajawahi kuwaza wala kufikia kusaidia yeyote kwa fedha zao kama alivyofanya huyu binti. Wengi wao utumia fedha za umma kuzifanya mali yao na kutumia miradi ya umma kama fadhila kwa jamii.
Wanawake weusi jitafakarini, waume zenu walipopata madaraka walijilimbikiza mali za umma. Mwenyenzi Mungu akakasirika na sasa wakimaliza muda wa huduma wanachokiona mbele yao ni magonjwa na hivyo vile walivyochuma kwa dhulma vimeoza na kuishia kuwatibu kuliko kuvisaza.
Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.
Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.
Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi
Hongera miss world kwakuwainua wanetu.
wao nio wao yale yale- wewe uanandika tu humu ungekuwa walau umefanya kama huo miss world. Jiangalie kwenye familia na ukoo wenu- umebeba wangapi? Angalia maji unayotawazia chooni na maji wanayokunywa ndugu zako kule kwenu. Una simu ya 500k ila unalia huna mtaji. Halafuunakuja hapa na maneno ya ajabu ma kalaumu laumu. Ukianza kualaumu ujue wewe umeshindwaMiss world ni binti mdogo aliyezaliwa masafa ya mbali na Tanzania. Alipofika Tanzania miaka minne iliyopita alitembelea Arusha na kukuta familia zisizo na uwezo wa mlo wa siku wala malazi. Watoto wengi zaidi ya asilimia 20 walibainika kutokwenda shule. Wawapo shuleni wanakosa chakula huku wakitumia muda wa zaidi ya masaa manne kwenda na manne kurejea majumbani kwao.
Binti huyu alishiriki kujenga shule na akajitolea kufundisha. Alijitolea chakula na malazi ikiwemo kuwanunua wanafunzi mavazi. Stori hii imerushwa live na inasambaa mitandaoni. Wanaojadili wanaona kama fedhea kwa watawala wetu huku watawala wakijinadi kwamba inatangaza utalii na kuitangaza nchi yetu.
Kwa maana nyingine watawala tatizo la watoto kukosa shule siyo big deal bali kwao wao wanaona kama video hii inatangaza utalii. Nimesoma comment ya waziri mmoja akisifia video ile akidai imesaidia wengi kuifahamu Tanzania.
Mimi nikawa na Mtizamo tofauti; nilipoona video hii nimejiuuliza Mama Salma Kikwete anakosa nini hadi achukue fedha za wananchi maskini ziwe zake na familia yake kupitia sheria mpya aliyopenyeza bungeni ya mafao ya wenza wa viongozi?
Hao wenza wa viongozi wana umaskini gani hadi wajione wao wanafaa kulipwa mabilioni ya kodi za umma for years huku wananchi wakikosa mlo mmoja?
Huyu binti Miss Worl hana pensheni lakini ana moyo wa Mungu na upendo. Huyu binti siyo Mtanzania ila ameonyesha kujali na kuthamini uhai wa watoto wetu. Huyu binti siyo mweusi bali ametambua kila binadamu anahitaji haki ya elimu na kuishi.
Natambua wenza walio wengi ni wanawake kuliko wanaume. Natambua waliopigania kulipwa mabilioni haya ni wanawake na siyo wanaume. Natambua wanawake wote waliopigania hii hoja wamezaliwa familia bora. Natambua wanawake hawa hawajawahi kuwaza wala kufikia kusaidia yeyote kwa fedha zao kama alivyofanya huyu binti. Wengi wao utumia fedha za umma kuzifanya mali yao na kutumia miradi ya umma kama fadhila kwa jamii.
Wanawake weusi jitafakarini, waume zenu walipopata madaraka walijilimbikiza mali za umma. Mwenyenzi Mungu akakasirika na sasa wakimaliza muda wa huduma wanachokiona mbele yao ni magonjwa na hivyo vile walivyochuma kwa dhulma vimeoza na kuishia kuwatibu kuliko kuvisaza.
Naona wanawake nao wameamua kujilimbikizia mali za maskini kwa msingi wa sheria. Wanawake viongozi wa Tanzania wamewakwa tamaa na nafsi zao zinawaza kuishi kwa anasa pale wenzao wao wanapoostaafu.
Amini Amin nawaambia......kwa kuwa pensheni hii italipwa mkiwa hai na ili msilipwe pensheni hii kwa muda mrefu na kunyonya maskini , Mwenyenzi Mungu anakwenda kuwapa maisha mafupi sana. Kisheria mtalipwa ila kiroho mtalipwa kwa muda mfupi sana.
Haiwezekani binti wa miaka 24 aje kwenye nchi yenye kila kitu akasaidie kulisha watoto wetu huku ninyi mkijilimbikizia mabilioni msiyoyafanyia kazi
Hongera miss world kwakuwainua wanetu.
SEMA TUMELAANIKAWATU WEUSI WAMELAANIKA