SI KWELI Video: Anayejiita Superwoman akamatwa na mihadarati nchini Oman

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Unaweza kushangaa hawa watu wasioleweka hata biashara zao hazieleweki ndio wanapata airtime ..Kuna yule chief wa Mbeya yaani hovyo kabisa.
Wachungaji wa mwendokasi pia wanaobadilisha magari kila siku.
 
Sio mwamba naunga mkono kuuza unga, mie niko kati kwa kati..
Wakati mwingine hawa wala unga wanajiingiza wenyewe, sidhani kama kuna mtu amemshikia mtu bunduki ale unga.
Hapana sometimes Hawa jamaa huwa wanatengeneza wateja kama vile marketing ya bidhaa nyingine mfano anaweza tumwa mtu mmoja akaenda kuwaasha masela wa vijiweni wa mtaa mzima ndo maana unakuta wengi walichanganyiwa kwenye sigara au bangi mpaka wakawa wateja mazima hiyo nishaishuhudia
 
Uwanja wa ndege Dar aliwezane kutoka na madawa yote hayo ambayo hata ukaguzi wa bila kutumia vifaa unayagundua.Tanzania imekuwa salama Kwa biashara za madawa chini ya wamu ya sita
Brother madawa yote hayatoki Tanzania hao wana connection kubwa kuliko unavyodhania muda mwingine anaenda kuyapokea kwa mtu aliyetoka nayo Brazil na akashuka Msumbiji au SA hata huko huko huko Uarabuni yaani makontena wanabadilishana mzigo..
 
Sio mwamba naunga mkono kuuza unga, mie niko kati kwa kati..
Wakati mwingine hawa wala unga wanajiingiza wenyewe, sidhani kama kuna mtu amemshikia mtu bunduki ale unga.
Unatakiwa upinge dawa za kulevya, usiwe katikati.
Hakuna anayemshikia mla unga bunduki ale ila wala wauza unga wanawashikia bunduki watu wanaopambana kuhakikisha watu hawali unga.
 
Usiwasahau wachungaji wenu wa mwendokasi pia.
 
Wanakupa stress ukiwafatilia maisha yao. Wewe ishi maisha yako huku ukipambana bila kusahau kumwomba Mungu afya njema na mafanikio
 
Nadhani bongo ukishakua maarufu kuna namna serikali inakulinda.

Wasanii wengi wabapush hizo zaga ila kwakua ni maarufu na wana pesa basi mamlaka zinawaacha tu.

Ila kajamba nani ukidakwa na kete mbili za kaya unasukumwa 30 yrs kama dogo wa mbeya.
 
Oman hawanyongi kama China?
 
Lazima tu watu wakuchunguze na ukamatwe huwezi kuwaambia watu unapesa nyingi halaf unadai ni kuuza mchicha then utegemee watu wakuache😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…