SI KWELI Video: Anayejiita Superwoman akamatwa na mihadarati nchini Oman

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Wazee tusake hela za kubadilisha mboga tuu na mbususu hawa wengine story nying buree
 
Uwanja wa ndege Dar aliwezane kutoka na madawa yote hayo ambayo hata ukaguzi wa bila kutumia vifaa unayagundua.Tanzania imekuwa salama Kwa biashara za madawa ya kulevya chini ya wamu ya sita
Bro ! Inawezekana akatoka bongo akiwa hana mzigo ila akafika Dubai akatoka na mzigo kupeleka kwingine na vice versa
 
Uwanja wa ndege Dar aliwezane kutoka na madawa yote hayo ambayo hata ukaguzi wa bila kutumia vifaa unayagundua.Tanzania imekuwa salama Kwa biashara za madawa ya kulevya chini ya wamu ya sita
Je kama maafisa wa huku ndio walio mchomesha huko il kukwepa mikono ya ma PAPA wa hapa mjini?
 
Ccm hiyo ....kwani mzee kikwete anasemaje
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mshukuru Mungu kwa huyo uliye naye, huyo ht wewe angekuuza au kukuua, wanawake wa dizain hiyo ni makatili hayajali chochote
Nikimpata mwanamke anaye weza kuniua au kunitoa kafara ili watoto wetu waishi kitajiri HATA LEO HII HII NAMUOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…