startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Usiseme hivyo mkuu kuna emergency ...Mungu anisamehe kwa mitizamo yangu na kutokuijua kwangu kesho ila Kila nkiona abiria na boda boda wake naona ni kama watu flan hawana akili wote
Unamaanisha boda au dereva wa basi?Hizo taa wanazifata?
Boda boda hawazifatiUnamaanisha boda au dereva wa basi?
Boda asilimia kubwa hawaheshimu taa..!
Kweli kabisa. Mwendo wa boda utadhani alikuwa kwenye Highway..!Boda boda hawazifati
Watu hatuna elimu ya driving 🤣Unaongea tu! Huoni boda ndiye mwenye makosa?
Shida ya Hawa madereva wa mwendokasi hawana uendeshaji wa kujihami. Kipande cha kuanzia Kivukoni mpaka Faya pale shuleni Jangwani ni kipande hatari ambacho kina pilika pilika nyingi, hivyo ni busara mwendokasi waendeshe kwa spidi ndogo na kwa umakini mkubwa.Mwendo kasi ilikua imechanganyia hadii injini inapiga mluzi.
Boda wakati anaingia main road alipaswa atulie km dk 1 kucheck. Ye kanyookea.mkuu hisia gani kwani ile intersection anatakiwa aiheshimu bodaboda peke ake na ndicho wanachofundisha driving school, bodaboda wana hatia kila ajali ikitokea na mbele pale uelekeo wa mwendokasi pana pundamilia kivuko cha watembea kwa miguu unataka unambie yule mwendokasi alipaheshimu, sawa mimi nimesema madereva wa mwendo kasi bila kutumia utu hadi anastaafu ashaua bodaboda 20, miundombinu yetu sio salama.
Hahahaa.....Ukiwa mstarabu ukasimama wale.wa nyuma yako hizo honi utapigiwa mpaka unashangaa tena Trafic light ziko- REDBoda wakati anaingia main road alipaswa atulie km dk 1 kucheck. Ye kanyookea.
Zebra pia wabongo mpk tuone traffic 😂
Boda wanateteana ujinga aiseeeeBoda ni watanzania Wenzetu, baadhi yao, na wenzao bajaji, sioni kama ni wakuhurumia, wao wanajari kuwahi kuliko Usalama wao na wa wenzao barabarani.
.
.Juzi nipo kwenye kigari changu, kwenye kituo cha daladala nimepungaza mwendo, akaja kukivaa kigari changu, nyuma, gari imebondeka sana bampa na shavu la kushoto, maana alipoanguka pikipiki iliilaria gari.
.Ila kwa saidiwa na boda wenzi, walinyua pikipiki chapu akakimbia, bodaboda wengine wakabaki wanacheka na kebehi, hii haina kesi hii. Nikaona uzuri wa kutotembea na silaha mda mwingine, maana shetani alishanituma vibaya pale.
.
.
Ndo mana nikawa nashangaa anavyolaumu dereva wa mwendokasiHajaelewa. ..bodaboda ndio shida
Boda kakutaa watu wamesimamaa yeye kapitilizaa ana harakaaa...!!!Boda wakati anaingia main road alipaswa atulie km dk 1 kucheck. Ye kanyookea.
Zebra pia wabongo mpk tuone traffic [emoji23]
Issue ni kuwa Mwendokasi kila wakati ni main road. Aidha tatizo la Bodaboda ni kujiona wana haki ya kutanguliaWatu hatuna elimu ya driving 🤣
Tutajua saa ngapi main road we wa kutokea mchepuko road unapaswa kusimama?