Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

Mungu anisamehe kwa mitizamo yangu na kutokuijua kwangu kesho ila Kila nkiona abiria na boda boda wake naona ni kama watu flan hawana akili wote
Usiseme hivyo mkuu kuna emergency ...
Mfano mimi nimejenga mpiji magohe kuna muda huwa barbara ni mbovu huwezi toka na mkweche wako au panda daladala option unayobaki nayo ni bajaj or bodaboda
Kufika mbezi kwa uhakika ni Boda tu hapo unakwepaje?
 
Mwendo kasi ilikua imechanganyia hadii injini inapiga mluzi.
Shida ya Hawa madereva wa mwendokasi hawana uendeshaji wa kujihami. Kipande cha kuanzia Kivukoni mpaka Faya pale shuleni Jangwani ni kipande hatari ambacho kina pilika pilika nyingi, hivyo ni busara mwendokasi waendeshe kwa spidi ndogo na kwa umakini mkubwa.
 
Boda wakati anaingia main road alipaswa atulie km dk 1 kucheck. Ye kanyookea.

Zebra pia wabongo mpk tuone traffic 😂
 
Boda wakati anaingia main road alipaswa atulie km dk 1 kucheck. Ye kanyookea.

Zebra pia wabongo mpk tuone traffic 😂
Hahahaa.....Ukiwa mstarabu ukasimama wale.wa nyuma yako hizo honi utapigiwa mpaka unashangaa tena Trafic light ziko- RED

Africa kuna shida kubwa sana
 
Bodaboda wangekatazwa kuingia mjini wasilete siasa watawamiza vijana yaan wanapita kwenye njia mwendo kasi kama yao
 
Madereva wote vichomi hapo.

Hao wa mwendokasi waache kujiona wanaendesha treni.
 
Boda wanateteana ujinga aiseeee
Pole mkuu maana hapo ni ghalama umeingia kunyoosha
 
Kwenye sekta ya udereva kuna ktu kinaitwa "UDEREVA WA KUJIHAMI"....ukiangalia kwa makini apo kuna watu wawili walikuwa wanajiandaa kuvuka wakisubiri mwendokasi kwanza ipite......

Sema sku ikifika imefika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…