Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu Mimi nikipata free time naendaga sana Mpiji Magohe na Ile road naijua vzr, Ile road sio ya kupanda boda boda tena kipindi hiki cha mvua option pekee ni dala dalaUsiseme hivyo mkuu kuna emergency ...
Mfano mimi nimejenga mpiji magohe kuna muda huwa barbara ni mbovu huwezi toka na mkweche wako au panda daladala option unayobaki nayo ni bajaj or bodaboda
Kufika mbezi kwa uhakika ni Boda tu hapo unakwepaje?
Tumia Bajaj wiki ilopita nlipanda Bajaj kutoka maeneo flan wanaita machimbo 1500 tu mpaka mbeziKufika mbezi kwa uhakika ni Boda tu hapo unakwepaje?
CCTV camera hyo, Ile ya yule Osama siyo hyo labda useme yule jamaa alieparamiwa na mwendokasi akakaaa Muhimbili mda mrefu bila ndugu kujulikana alivopona ndo wakajulikanaMwenye hii camera atakuja kustakiwa siku.si ndio hii iliyoonesha ya Osama yule wa mwaka jana.
Unakuta wanapitishwa katikati ya magari, huku wamebinua matrakoo tuu.Usafiri wa mademu huu, wanaupenda huwaambii kitu
Wewe bodaboda tuliza mshono! Mjirekebishe Kuna siku navuka barabara libodaboda jenzako linakuja upande mwingine nusu nikizabe kofibosi nani kamalaumu dereva wa mwendokasi nimesema watumie busara na utu, sababu hii miundombinu ya treni za mataili ina mapungufu usiiishie kumsema bodaboda utakuta huyo boda siku nzima anafanya kazi akili inachoka msiishie kuwalaumu hawa watu ni ndugu zetu wametoka kwenye familia zetu eti pombe, nani hanywi pombe madaktari au kwani hawafanyi upasuaji.
Acha ufala na wivu wa kipumbavu hapo alikuwa boda boda mwenzako ndio liesababisha kifo cha huyo "muhindi"Hao Wahindi wakishika Pikipiki zile za milioni 20 barabara yoote inakuwa yao.
Hilo eneo liko bize muda woote unashangaa hiyo speed aliyokuwa nayo.
Dart alikuwa na mwenzo wa kawaida kabisa
Usikute anaongea hivi huku anaishi kigoma hukoHuna akil yan unataka tuendelee kurudi nyuma kisa wasiojua kutumia sheria zabarabara, kama vp pendekeza tutumie baiskel zamiti ili tupunguze ajal
alijenga stendi nchi nzima stendi za hadhi ya kimataifa, alijenga masoko nchi nzima masoko ya kimataifa, alianzisha ujenzi wa sgr alianzisha ujenzi wa bwawa na mwalimu nyerere, alikua anatukumbusha watanzania tuchape kazi kila akitoa hotuba, hivyo vitu nilivokutajia vilikuepo kipindi cha mkapa au kikwete, au wewe ulikua unaipenda stendi ya ubungo pachafu kama banda la bata sijui mbuzi, mama amefanya nini mpaka sasa taja kimoja tu.Magufuli alifika wapi pamoja na kujitolea maisha yake kwa ajili ya nchi hii? 😳
Sababu ya kunitukana ni nini?Acha ufala na wivu wa kipumbavu hapo alikuwa boda boda mwenzako ndio liesababisha kifo cha huyo "muhindi"
hujaona kosa la dereva wa mwendokasi hata mimi sijaona kosa la dereva bodaboda hata kama ametangulia mbele ya haki, waliodesign barabara za mwendokasi bila vizuizi vya lazima sehemu kama ile ndio wauaji wenyewe boda boda mnamwonea.Sioni kosa la madereva wa Mwendokasi.Kwa hili kabisa unaona kama mwenye bodaboda alitoka kule kwa kasi bila hata kufunga breki kuangalia pande zote,lakini akaona ni kupita tu.
We sikwasababu una gari ndio mana unaongea hivyo,kama huna gari bodaboda haikwepekiMungu anisamehe kwa mitizamo yangu na kutokuijua kwangu kesho ila Kila nkiona abiria na boda boda wake naona ni kama watu flan hawana akili wote
msimwonee ndugu yangu boda boda wote walikua mwendo kasiBoda wakati anaingia main road alipaswa atulie km dk 1 kucheck. Ye kanyookea.
Zebra pia wabongo mpk tuone traffic 😂
Mwendo kasi sio shida. Mwal wako wa udereva ni nani? Aliyekuelekeza ukiingia barabara kuu uingie tu kama unapanda kitandani?msimwonee ndugu yangu boda boda wote walikua mwendo kasi
acha mihemko nani boda boda, acheni kunyosha vidole kama waimba taarabu bodaboda ni wahanga wa ajali sio kwamba wao ndo wavunja sheria sana polisi wanavunja sheria barabarani kupita maelezo, magari ya serikali, daladalaWewe bodaboda tuliza mshono! Mjirekebishe Kuna siku navuka barabara libodaboda jenzako linakuja upande mwingine nusu nikizabe kofi
We kaza tu fuvu mkuu. Siku utokezee main road mkuku mkuku ukutane na hizo SU zimelaza mshale. Uone kesi italalia kwa naniacha mihemko nani boda boda, acheni kunyosha vidole kama waimba taarabu bodaboda ni wahanga wa ajali sio kwamba wao ndo wavunja sheria sana polisi wanavunja sheria barabarani kupita maelezo, magari ya serikali, daladala
kama ushawahi tafuta hela kwa nguvu utajua tu yule bodaboda kuna sababu zilimfanya akimbie vile,Mwendo kasi sio shida. Mwal wako wa udereva ni nani? Aliyekuelekeza ukiingia barabara kuu uingie tu kama unapanda kitandani?
Wameua sana watu kwenye zebraYani bodaboda hata kwenye zebra, anaona gari zimesimana means kuna watu wanaweza kua wanavuka, yeye hajari, anatoka mbio tu.
Kifupi boda wengi ni akili mbovu sana
hauwezi ukatoa lawama tu kwa bodaboda lazima uchimbe ujue hawa watu wanapitia matatizo gani kwenye kazi yao, nusu bei, kulazimishwa kuwahi kufika, kukimbiza hesabu, kipato chenyewe kidogo kuhukumu tu ni utoto, unataka unambie dereva bodaboda akiacha kazi ya boda akapata uba hata kigari kidogo ist atakua na tabia za kibodaboda sio kweli mimi hua naona bodaboda wanapitia mambo magumu kama dada zetu wanaouza barWameua sana watu kwenye zebra