Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona bodaboda umaemua kuwatetea machizi wenzakoacha mihemko nani boda boda, acheni kunyosha vidole kama waimba taarabu bodaboda ni wahanga wa ajali sio kwamba wao ndo wavunja sheria sana polisi wanavunja sheria barabarani kupita maelezo, magari ya serikali, daladala
Nakazia!!Wameua sana watu kwenye zebra
Ukiondokana na ufala utaelewa kwanini "nimekutukana"Sababu ya kunitukana ni nini?
kama ushawahi tafuta hela kwa nguvu utajua tu yule bodaboda kuna sababu zilimfanya akimbie vile,
-anakimbizia hesabu siku nzima usikute alipata wateja watatu hesabu haisomi
-amelipwa nusu bei na abiria
-ameombwa na abiria amuwaishe
-amefanya kazi siku nzima akili ilikua haifanyi kazi tena
niambie kwenye mazingira gani dereva wa mwendokasi anaweza akawa na mawazo kama hayo kichwani au dereva wa daladala
Akili zako za kipumbavu kabisa! Kwahiyo mawazo yake yeye ndio asababishe ajali na kuua mtu asie na hatia? Wewe hutakiwi kuwa na familia kwa akili zako hizikama ushawahi tafuta hela kwa nguvu utajua tu yule bodaboda kuna sababu zilimfanya akimbie vile,
-anakimbizia hesabu siku nzima usikute alipata wateja watatu hesabu haisomi
-amelipwa nusu bei na abiria
-ameombwa na abiria amuwaishe
-amefanya kazi siku nzima akili ilikua haifanyi kazi tena
niambie kwenye mazingira gani dereva wa mwendokasi anaweza akawa na mawazo kama hayo kichwani au dereva wa daladala
NdioWalikufa!??
Ulibahatika Boda toka machimbo mpaka mbezi si chini ya elfu nneTumia Bajaj wiki ilopita nlipanda Bajaj kutoka maeneo flan wanaita machimbo 1500 tu mpaka mbezi
Sidhani kama Kuna sehemu nimesema na gari🤔We sikwasababu una gari ndio mana unaongea hivyo,kama huna gari bodaboda haikwepeki
akili ndogo ya mtu mweusi hiyoLema alisema hii kazi ni laana,mtu unazama intersection mzima mzima kweli?
Bodaboda ndio alikuwa anatoka barabara ya uchochoroni kuingia main road, alitakiwa kuwa na tahadharimkuu hisia gani kwani ile intersection anatakiwa aiheshimu bodaboda peke ake na ndicho wanachofundisha driving school, bodaboda wana hatia kila ajali ikitokea na mbele pale uelekeo wa mwendokasi pana pundamilia kivuko cha watembea kwa miguu unataka unambie yule mwendokasi alipaheshimu, sawa mimi nimesema madereva wa mwendo kasi bila kutumia utu hadi anastaafu ashaua bodaboda 20, miundombinu yetu sio salama.
Alifariki kwa ugonjwa wa moyo, RIPMagufuli alifika wapi pamoja na kujitolea maisha yake kwa ajili ya nchi hii? 😳
kwenye mitandao kila mtu anaweza kuonekana anamiliki gari anatukana bodaboda lakini kwenye uhalisia kila siku mnaomba kupunguziwa bei, mademu zenu wanadandia bodaboda, mimi lazima niwatetee ndugu zangu bodaboda wanyonge wa nchi hii, najua kuna watu nimesoma nao ni bodaboda ndugu zangu nakadharika, boda boda sio machizi kama usemavyo machizi wako kila mahali, hata wewe na wasiwasi utakua chizi mitandao chizi jamiiforum.Nakuona bodaboda umaemua kuwatetea machizi wenzako
kwakua unajadiliana na mimi wewe ni mpumbavu mwenzangu tu tukubaliane, jinga kweli una hakika gani abiria alikua hana hatia kwa macho yako ya panzi abiria alivaa kofia ngumu pale ni wajibu wa nani kuvaa kofia ngumu, sheria inasemaje, labda abiria alilazimisha kuwahi utajuaje umefanya mahojiano na marehemu acha kulaumu unaonesha jinsi gani ni mtu wa excuses, eti abiria hana hatia si angetembea kwa miguu au angekodi taxi pale bodaboda anafukuzia hesabu na abiria wake hana hela ya taxi wote masikini tu.Akili zako za kipumbavu kabisa! Kwahiyo mawazo yake yeye ndio asababishe ajali na kuua mtu asie na hatia? Wewe hutakiwi kuwa na familia kwa akili zako hizi