Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

Hizi damu zinqzopotea kila siku ziwe juu ya watawala waliohalalisha huu usafiri wa bodaboda...
 
Hizi damu zinazopotea kila siku ziwe juu ya watawala waliohalalisha huu usafiri wa bodaboda...
 
Kuna ile lawama wanatoaga watu kwa abiria "kwanini anakubali" "kwanini akumwambia asipite" watu wanasemaga hivyo hua hawana Common Sense

Mfano kama hapo walipogogwa sehemu ambapo ilibidi dereva achukue uamzi wa kusimama kwanza na kuachukua uamzi wa kupita hivyohivyi ni JUST SECONDS ni swkunde kadhaa tu yaani hata abiria ustuke Hey simama angalia kwanza hio kauli inaisha ushaivuka balabala kitambo kama atari ishatokea.
Labda ni ile mwanzo wa safari tu kumuasa kua huna haraka aende taratibu.
Lakini jama kusema eti alimruhusu boda akimbie kama kipanga eti akiiona hatari atamstua ni kumbip mtoa roho.
 
Huyo Boda kazingua, huwezi kwenda m kwa moja penye kona kwa speed. Alitakiwa apunguze aone kama kuna usalama ndio apite yeye hajapunguza hata kama alikuwa makini.

Njia niliyopitishwa haikuwa na kona kali kama ile ya yule Boda
Hamna kona kali hapo ni makutano ya barabara.
Haijalishi upo eneo gani, mwendokasi sio mzuri, nenda mwendo wa wastani tu
 
Yani Pikipiki ni chombo flani cha hatarii sana Ukiweka na style ya ovyoo ya kuendesha ya boda bodaa ni balaaa.. Juzi tu hapaa nilipanda boda jamaa nusu akutane na gari la shule uso kwa usooo akaniomba msamaha kichizi... Kuja mshkaji wangu nae sio kwamba hana gari ila alitaka kuwahi mahali aisee ikawa mwisho wa uhai wake.. Pia jamaa mwingine alinununia pikipiki kwa usafiri binafsi juzi tu Lori likamlambaa ni shida aisee unaweza kuwa makini lakini bado kikakulamba japo asilimi 90 huwa kunakuwa na uzembe
Aisee🤔
 
Back
Top Bottom