Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni video ya leo ila staili ya kuwaua na kuwakanyaga midomo ndo ileileVideo ya siku nyingi hiyo,ninayo kwenye file langu
Wanaukumbi.
Mungu ni mkuu, Mungu ni mkuu, Mungu ni mkuu, na sifa njema ni zake.
Tazama Mujahidina wa upinzani wakipambana kwa mbali na jeshi la wasomi wa Kizayuni waliokuwa wakiingia, na wengi wao waliuawa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.
Maombi yako kwa Mujahidina wa Gaza na Lebanon
Ewe Mola wasaidie Mujahidina na wapiganaji wa upinzani
=========================
Grow up
God is great, God is great, God is great, and to God be praise.
Watch the Mujahideen of the resistance clash from a distance with the infiltrating Zionist elite force, and many of them were killed by the power of God.
Your prayers for the Mujahideen in Gaza and Lebanon
O God, support the Mujahideen and the resistance fighters
View: https://x.com/sohil7720/status/1851120509410246732?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Iko wapi?Hii mbona ya zaman humu ndan imo au wewe ndo umeipata leo
NakaziaAllah auliwe
Just last week colonel anaongoza vita vya Gaza kaliwa kichwa kimya kimya IDF wakanyamaza, baadae Kiongozi wa Druze aka bwatuka, IDF Waka Admit amefariki.hayo ndo madhara ya vita, vita maana yake ni pande 2 zinazopigana, kwahyo kila upande lazma kutakua na majeruhi na vifo, ila nani kachapika zaid, upande upi umeathirika zaid, tuendelea kufatilia habari kuelewa.
mimi kwa kumbukumbu zangu mwanzoni mwa vita na hamas mambo yalikua hivi, idf walikutana show kali za hamas ila baada ya muda kibao kiligeuka, hamas wameisha na gaza ni mali ya israel.
vita ni kitu kibaya tuombee Amani duniani kote.
Endelea kuchukulia hii vita personal utakufa na kihoro, wanapigana mashariki ya kati mkund# unakutetemeka uliyepo bonyokwa umepakatwa na bwanaako.Angalia hili shoga sasa umekasirika nini unataka kuharisha😂
Kwa hiyo umeandika thread na kucoment menyewe. Hamuwezi ishinda Israel hata mkikusanyika muhahijina dunia nzimaIDF walidhani wanaweza kuingia Lebanon kama walivyoingia Gaza kuuwa watoto na wanawake kuvunja majumba, wamekutana na Hezbollah walichokipata wenyewe wameondoka majeshi rasmi.
Wanaukumbi.
Mungu ni mkuu, Mungu ni mkuu, Mungu ni mkuu, na sifa njema ni zake.
Tazama Mujahidina wa upinzani wakipambana kwa mbali na jeshi la wasomi wa Kizayuni waliokuwa wakiingia, na wengi wao waliuawa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.
Maombi yako kwa Mujahidina wa Gaza na Lebanon
Ewe Mola wasaidie Mujahidina na wapiganaji wa upinzani
=========================
Grow up
God is great, God is great, God is great, and to God be praise.
Watch the Mujahideen of the resistance clash from a distance with the infiltrating Zionist elite force, and many of them were killed by the power of God.
Your prayers for the Mujahideen in Gaza and Lebanon
O God, support the Mujahideen and the resistance fighters
View: https://x.com/sohil7720/status/1851120509410246732?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaukumbi.
Mungu ni mkuu, Mungu ni mkuu, Mungu ni mkuu, na sifa njema ni zake.
Tazama Mujahidina wa upinzani wakipambana kwa mbali na jeshi la wasomi wa Kizayuni waliokuwa wakiingia, na wengi wao waliuawa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.
Maombi yako kwa Mujahidina wa Gaza na Lebanon
Ewe Mola wasaidie Mujahidina na wapiganaji wa upinzani
=========================
Grow up
God is great, God is great, God is great, and to God be praise.
Watch the Mujahideen of the resistance clash from a distance with the infiltrating Zionist elite force, and many of them were killed by the power of God.
Your prayers for the Mujahideen in Gaza and Lebanon
O God, support the Mujahideen and the resistance fighters
View: https://x.com/sohil7720/status/1851120509410246732?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Itakusaidia nini? Hakuna vita watu wasiokufa. Haivutii kushangilia vifo na sidhani kama kuna dini inahamasisha na kushangilia watu kufa.Kazi nzuri kuyaua hayo magaidi ya Israel next time wawakamate na wawachune ngozi wakiwa hai
Mayoo mayoo sijakuona siku mbili tatu hiviIko wapi?
Acha unafiki wewe punguaniItakusaidia nini? Hakuna vita watu wasiokufa. Haivutii kushangilia vifo na sidhani kama kuna dini inahamasisha na kushangilia watu kufa.
Watoto wanauawa na kuteseka bila sababu, wanawake wanaua na binafsi sioni hata sababu ya msingi ya hizo vita. Sijui kwanini wasikae chini wapatane. Kama wanagombea ardhi, si waje tuwape Mtwara au Tabora au Katavi waje kuishi. Mbona Tanzania tuna mapori mengi tu. Waje waishi hata haya mapori ya manyara kuliko kila siku kuuana bila sababu ya msingi.
Inasikitisha sana.
Nilikuwa chini kwenye handaki.Mayoo mayoo sijakuona siku mbili tatu hivi
Duh sasa hilo neno maamayo Lina maana gan mayooNilikuwa chini kwenye handaki.
Maamayo.