Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaukumbi.
Mungu ni mkuu, Mungu ni mkuu, Mungu ni mkuu, na sifa njema ni zake.
Tazama Mujahidina wa upinzani wakipambana kwa mbali na jeshi la wasomi wa Kizayuni waliokuwa wakiingia, na wengi wao waliuawa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.
Maombi yako kwa Mujahidina wa Gaza na Lebanon
Ewe Mola wasaidie Mujahidina na wapiganaji wa upinzani
=========================
Grow up
God is great, God is great, God is great, and to God be praise.
Watch the Mujahideen of the resistance clash from a distance with the infiltrating Zionist elite force, and many of them were killed by the power of God.
Your prayers for the Mujahideen in Gaza and Lebanon
O God, support the Mujahideen and the resistance fighters
View: https://x.com/sohil7720/status/1851120509410246732?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Na bado hakuna kitu kibaya kama ukauwe innocent people wao wanawakwepa Hamas wanakimbilia kuwauwa watoto, wanawake na vizee au vijana wasio husika kabisa na Hamas.
We umjui huyo kuwa alikua anashangilia hata mujahidina walipoingia kibiti na kuuwa watanzania?. Pia likichukia JW kuwafyeka wakakimbiza kobasi msumbiji. Linatamani hata Leo Tanzania iungozwe kiislamu lakini halina jinsi ya kufanyaKwa hiyo mwana IDF mmoja kufariki ndio unashangilia hivyo?
Uliona wapi vita ya kuuawa upande mmoja tu?
Halafu eti mola awasaidie mujahidina, hivi kwani huyo mola wenu hakuwaumba wayahudi?
Mbona kama akili za kitoto sana hizi.
Hivi huwa inakuwaje mtu unakuwa na akili za kijinga namna hii?
Eti wanaukumbi!
Na bado hakuna kitu kibaya kama ukauwe innocent people wao wanawakwepa Hamas wanakimbilia kuwauwa watoto, wanawake na vizee au vijana wasio husika kabisa na Hamas.
Yote wanaona raha kuona wameuwa wangapi na wamevunja majumba mangapi.
Ndiyo Wanawake na Watoto ndiyo wanaolipa gharama kwa huu unyama uliofanywa na Hamas!
Kenge wee! acha kuokoteza okoteza picha ovyo. Hivi huna shughuli ya kufanya wewe?Siku nyingi lini? Kuna bendera za hezbollqh unaziona na hizo maiti za mabasha zako ilikuwa lini?
Mmh!Nilikuwa chini kwenye handaki.
Maamayo.
Israel's Channel 12 reported Monday that the deal concerning Lebanon aims for a 60-day ceasefire, during which the specifics of a comprehensive agreement will be reached.
It further claimed that Israel seeks a deal that cancels the expansion of ground operations in exchange for imposing a naval, land, and air "targeted blockade" on Lebanon.