min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Wap hao wakaka wa jf wamesema wanatamani kuwa na huyo dada?Wapi nimesema ni mrembo taifa zima?
Kati ya warembo na yeye yupo.
Wap nimesema kati ya warembo hayupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wap hao wakaka wa jf wamesema wanatamani kuwa na huyo dada?Wapi nimesema ni mrembo taifa zima?
Kati ya warembo na yeye yupo.
Kama huna macho siwezi kukwambia tazama.Wap hao wakaka wa jf wamesema wanatamani kuwa na huyo dada?
Wa kwako ana hela au naye ni kapuku tu kama unavyotusema.Wakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Hela anazo.Wa kwako ana hela au naye ni kapuku tu kama unavyotusema.
Mhm mnakuza mambo tu , sio kila mtu anavutiwa na kila aina ya mwanamke .Kama huna macho siwezi kukwambia tazama.
Kila la heri kwao, naona kataa ndoa wamekasirika kweli kweli.
Tuwazomeee "ooooooooooooooo
Kataa ndoa watafanya come back yao ya kibabe utabaki unashangaa.Kila la heri kwao, naona kataa ndoa wamekasirika kweli kweli.
Tuwazomeee "ooooooooooooooo😜😯😯
Kwanini wakinga?Kataa ndoa watafanya come back yao ya kibabe utabaki unashangaa.
Kila la kheri kwa Ki Aziz sema wakinga ndio watakuwa na hasira time hii
Walishindwa kuweka chombo ndani ikatulia anatokea mbukinabe anawakalisha kizembe hivi.Hatari manKwanini wakinga?
Pesa mkuu, pesa ni kilainishi muhimu sana.Walishindwa kuweka chombo ndani ikatulia anatokea mbukinabe anawakalisha kizembe hivi.Hatari man
Ngoja nichafue hali ya hewa.Wakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Mh! kituko chengine kama hiki tubonyeze ngapi...?😅Wakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Sema mbona yule vunja maprice mpunga alikuwa nao shida na yeye dada zilikuwa nyingi.Mali kama hiyo unaanza story za dada dada ,hovyo kabisa.Weka ndani chombo hiyo unaijaza back to back kama mara mbili na wewe unakaa unapunga upepoPesa mkuu, pesa ni kilainishi muhimu sana.