min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Binafsi napenda mwanamke mweusi kwangu huyo naona yupo sawa tuIla mi naona rangi tu, ila kwenye mkali hayumo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi napenda mwanamke mweusi kwangu huyo naona yupo sawa tuIla mi naona rangi tu, ila kwenye mkali hayumo.
Mweusi rangi ya chocolate ni sawa, ila sio Kama lupita nyongo😂.Binafsi napenda mwanamke mweusi kwangu huyo naona yupo sawa tu
😁Mweusi rangi ya chocolate ni sawa, ila sio Kama lupita nyongo😂.
mi maji ya kunde au mweupe wa kawaida ndio favorite yangu.
Ndoa yao ikawe ya kheri, visokolokwinyo roho ziwaume, wakivimba, wapasuke.Wakuu
Fundi wa ball ashavuta jiko
Aziz Ki amekamilisha kiapo cha ndoa msikitini na rasmi ni mume wa Hamisa Mobetto.
View attachment 3238148
View attachment 3238149
View attachment 3237737
View attachment 3238138
Soma, Pia
Ma parokwo wazomee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooooooooooo mwenyekiti waoWe ndio maana nusu albino a.k.a nusu albino
Usi niharibie kwa shemeji yangu.Ooooooooooo mwenyekiti wao
Ndio hivyo mkuu hamna namna, na mbaya zaidi ni singo maza, kawaprove wrong na kaolewa na kijana mdogo kabisa.Wakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
007 ana elekea kuwa boyka wa vikindu 🤣Ndio hivyo mkuu hamna namna, na mbaya zaidi ni singo maza, kawaprove wrong na kaolewa na kijana mdogo kabisa.
Aloo, Azizi Ki ameniinspaya acha na mimi nisake singo maza nipoe nae afu unyama tu.
Mwezi wa 6 naoa, karibu ule ubwabwa wa bure kijana.007 ana elekea kuwa boyka wa vikindu 🤣
worry out kaka, nipe kitengo Cha kugawa msosi.Mwezi wa 6 naoa, karibu ule ubwabwa wa bure kijana.
Tutafute pesa hakuna binadamu mbaya wala hakuna mzee.Ila jamani pesa ni mwanaharamu. Hivi huyu Aziz angekuwa kijijini kwetu na hiyo sura yale bila pesa angemuoa nani !? Mabinti kibao wangemkataa
TuliaUsi niharibie kwa shemeji yangu.
Uta kula Bomba za uso😂Tulia
Wewe nae, fedha zetu tunakula na pisi kali kama wewe bana sio na hao makurumbembe wa mjiniWakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Hapa inaonekana kabisa kuwa kuna mmoja ana nyege na mwingine anatumia hii ndoa kama mtaji wa kunufaisha familia yake. Dogo anasikitisha mno, nyege gani hii ya kuoa mwanamke cha wote? Unaoa mwanamke aliyezaa na wanaume wengine huku ukitunza hao watoto?Wakuu
Fundi wa ball ashavuta jiko
Aziz Ki amekamilisha kiapo cha ndoa msikitini na rasmi ni mume wa Hamisa Mobetto.
View attachment 3238148
View attachment 3238149
View attachment 3237737
View attachment 3238138
Soma, Pia
Zishapikwa?Uta kula Bomba za uso😂