Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na show ya kimataifa Zanzibar juzi hukumuona alivyoondoka na Kijiji.Ali hata simuelewi anafanya nini kwenye muziki
Ndio SI unit ya undergroundBest Nasso will be Depressed [emoji24] why kila mtu anamcompare best naso kwa mabaya tu
Labda tuzo ya Michambo, Na kutafuta misifa ya kukusanya Kijiji kwa kupitia wasanii Wenzake.Wakuu vipi Diamond, kapokea tuzo ngapi juzi?
Labda ajifananishe na jaymondy..Kwani baraka yeye sio msanii wa muziki, kwanini asijilinganishe yeye na mondy?
Ali hata simuelewi anafanya nini kwenye muziki
Mleta mada kamtaja Baraka the Prince si de Prince, ila nadhani wewe ndio umepatia kumtaja.Baraka De Prince ndio nani jaMani
Mie mbon Simjui huyoo!!!!
Na wakimzengua atasema tena hawajui, jamaa hanaga mchezo huyu.Cheusi mangala baraka da prince kosa kubwa alilolifanya kwanza ni kugombana NA watu ambao wamemtoa matopeni,wanamjua vizuri na wamemfanya yeye kuwa star na wao ndio walikuwa wanamuandikia nyimbo pili ni kusainiwa na rockstar chini ya alikiba hapo ndio alijipoteza mwenyewe, sasa hivi anahangaika tu kujipendekeza kuna kipindi cha nyuma alishawahi kusema hamjui diamond Leo hii anamponda kibakuli ili upande was pili wamuonee huruma wamsapoti,
Na huyo demu sijui anawezaje kumvulia mwana coz mchizi sasa hivi kafulia halafu madon kibao wanataka kuweka mzigo kwa naj ili waonje pepo ya mtumeUnajua mtu ukiwa na demu mkali sanaa alafu wewe huna pesa ya kumuhudumia lazima unakua umeghafilika flani hivi. Ndiyo huyu sasa Baraka the Prince.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Ali Kiba hapaswi kulinganishwa na Diamond, na hii ni simply tu kwakuwa mahadhi ya nyimbo zao hayafanani hata kidogo.Hata wewe hatuwezi kukulinganisha na Ali kiba tutakua tunakukosea heshima maana umemzidi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani baraka yeye sio msanii wa muziki, kwanini asijilinganishe yeye na mondy?
Kwasababu kamsifia mond?Ila Baracka ni msema kwel, huwa hapindishi
Demu kutwa kucha yupo kwenye flights safari za hapa na pale na mara nyingi anakua kwa dada yake aliyeolewa ughaibuniNa huyo demu sijui anawezaje kumvulia mwana coz mchizi sasa hivi kafulia halafu madon kibao wanataka kuweka mzigo kwa naj ili waonje pepo ya mtume
Baraka the prince alishawahi kuhojiwa akasema hamjui Diamond wala hajawahi kumsikia,Kwasababu kamsifia mond?
angemponda mngemtukana sana wazee wa mitusi WCB,