Video: Baraka The Prince adai Alli Kiba ni level ya Best Naso na sio Diamond Platnumz

Video: Baraka The Prince adai Alli Kiba ni level ya Best Naso na sio Diamond Platnumz

Ila ni kweli kuwafananisha watu ambao level zao zimepishana sana. Ni muda sasa wa kumfananisha na msanii mwingine Ila sio Diamond tena.
Ila huu ni ukweli mchungu
Cheza nayo hiyo
Screenshot_2020-01-13-21-39-23.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli Ali Kiba hapaswi kulinganishwa na Diamond, na hii ni simply tu kwakuwa mahadhi ya nyimbo zao hayafanani hata kidogo.

Uyo Ali hata kama hamfikii Diamond kwa uwezo kama mnavyompima bado ana flavour zake, words art ya kivyake na ana mashabiki wake wanaovutiwa na hiyo style yake na sio kwamba eti ni msanii aliyenyongorota kama msiompenda mnavyowish.

Sent using Jamii Forums mobile app
We usipate nao shida hao tumewazoea na WANA stress ya KUTOKA PATUPU SOUNDCITY AWARDS...wanampa jamaa sifa nyiiiiiing afu hana jambo kwa vurugu alizofanya Diamond mwaka jana na show za mwaka huu mwanzon ulitegemea akose tuzo?...WANA STRESS HAO NA NYAU WAO WANAMFANANISHA NA SIMBA hahahahahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mwana kazingua kumzulumu man water kama vip atembeze bakuli tumchangie
Man water alijua Ali kiba kama 20% Asa anashangaa Mwana harekod kwake na anasumbua mtaani yeye na vijana wake kibinadamu lazima iume na utafute kaubaya kidogo umchafue mtu..hahahahahaaaaa maana tangu ally aache sijaskia tena ngoma Kali kutoka KOMBINENGA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baraka ana stress za maisha, muziki umemshinda tangu ajitoe kwenye management ya Ally Kiba, akaanza kulalamika akimpigia simu Ally hapokei, aliondoka kwa mbwembwe na lawama nyingi yakamshinda akaanza kujipendekeza na Ally si mnafiki akaona potelea mbali hata kwenye simu siongei na wewe, akaenda kuanzisha ya kwake na Najma kaita BANA 9baraka na Najma) kajikuta amepoteza patna na mpenzi sasa amebaki kupayuka tu.
 
Back
Top Bottom