playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Cheza nayo hiyoIla ni kweli kuwafananisha watu ambao level zao zimepishana sana. Ni muda sasa wa kumfananisha na msanii mwingine Ila sio Diamond tena.
Ila huu ni ukweli mchungu
Sent using Jamii Forums mobile app