Upo Sawa mkuu namimi nimekuelewa sanaaaaNi kweli Ali Kiba hapaswi kulinganishwa na Diamond, na hii ni simply tu kwakuwa mahadhi ya nyimbo zao hayafanani hata kidogo.
Uyo Ali hata kama hamfikii Diamond kwa uwezo kama mnavyompima bado ana flavour zake, words art ya kivyake na ana mashabiki wake wanaovutiwa na hiyo style yake na sio kwamba eti ni msanii aliyenyongorota kama msiompenda mnavyowish.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mwana kazingua kumzulumu man water kama vip atembeze bakuli tumchangieNi kweli Ali Kiba hapaswi kulinganishwa na Diamond, na hii ni simply tu kwakuwa mahadhi ya nyimbo zao hayafanani hata kidogo.
Uyo Ali hata kama hamfikii Diamond kwa uwezo kama mnavyompima bado ana flavour zake, words art ya kivyake na ana mashabiki wake wanaovutiwa na hiyo style yake na sio kwamba eti ni msanii aliyenyongorota kama msiompenda mnavyowish.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana ni mweusi balaaDogo mziki umemshinda so anachotafuta ni attention na huruma ya wananchi! Pole yake huyu kijana ni mweusi sana huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ali kiba yupi anakuangushaHata sasa hiv ukiamua kuimba utampita Alikiba now days kiukwel kiba ananiangusha sana sijui kapatwa na Nini? Tokea atoe aje mpaka sasa hiv kashindwa kutoa kazi yakushawishi.
In no particular order but Kiba is the fourth from last...
Bt he is still there mzee though hakuna project kuubwa alofanya bt he maintainsIn no particular order but Kiba is the fourth from last...
Matusi haya kwa King.
[emoji57]
Diamond 8 na vurugu zote mixer kujipa show za watuIn no particular order but Kiba is the fourth from last...
Matusi haya kwa King.
[emoji57]
Baraka zigo la miba hilo...Ali kamoeleka rockstar 4000 kaleta ujuaji katoka...mwenzake Ommy Dimpoz anakula maisha...kaamua kuwa mropokaji hahahahahahaaaaaaKwani baraka yeye sio msanii wa muziki, kwanini asijilinganishe yeye na mondy?
KARUDI KAMA ALIVYOENDA KAKA....Wakuu vipi Diamond, kapokea tuzo ngapi juzi?
Kauliziwa Diamond mjibu kwanza huenda baada ya hapo akawaulizia akina Marioo na wengine Hahahahahahaaa watu wanaumia sana.Kwani alikuwa anagombea Mtanzania pekee yake?
Rockstar alijitoa pale ndo alipoharibu...KUJITOA wale jamaa wangemfanya atambulike Africa kwa urahisi akaleta ujinga acha ale jeuri yake.Cheusi mangala baraka da prince kosa kubwa alilolifanya kwanza ni kugombana NA watu ambao wamemtoa matopeni,wanamjua vizuri na wamemfanya yeye kuwa star na wao ndio walikuwa wanamuandikia nyimbo pili ni kusainiwa na rockstar chini ya alikiba hapo ndio alijipoteza mwenyewe, sasa hivi anahangaika tu kujipendekeza kuna kipindi cha nyuma alishawahi kusema hamjui diamond Leo hii anamponda kibakuli ili upande was pili wamuonee huruma wamsapoti,
Kama ambavyo Baraka alikuwa na show chumbani kwake na NAJAlikuwa na show ya kimataifa Zanzibar juzi hukumuona alivyoondoka na Kijiji.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji39][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji39][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]Dogo mziki umemshinda so anachotafuta ni attention na huruma ya wananchi! Pole yake huyu kijana ni mweusi sana huyu
Sent using Jamii Forums mobile app