playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Cheza nayo hiyoIla ni kweli kuwafananisha watu ambao level zao zimepishana sana. Ni muda sasa wa kumfananisha na msanii mwingine Ila sio Diamond tena.
Ila huu ni ukweli mchungu
[emoji1787][emoji23][emoji41][emoji41][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji41][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji23]Best Nasso will be Depressed [emoji24] why kila mtu anamcompare best naso kwa mabaya tu
Stress unatoa ngoma haziend mchezo nnNao wakimzengua atasema tena hawajui, jamaa hanaga mchezo huyu.
Yule demu ni mkali au MWEUPE?...HahahahahahaaaUnajua mtu ukiwa na demu mkali sanaa alafu wewe huna pesa ya kumuhudumia lazima unakua umeghafilika flani hivi. Ndiyo huyu sasa Baraka the Prince.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada kamtaja Baraka the Prince si de Prince, ila nadhani wewe ndio umepatia kumtaja.
Watu wanakula vizuri tuu...Baraka akae akijua anaish na mke Wa watu siyo mtu...watu wamemlia stamina mwenye ndoa itakuwa bw CHEUSI MANGALA??Na huyo demu sijui anawezaje kumvulia mwana coz mchizi sasa hivi kafulia halafu madon kibao wanataka kuweka mzigo kwa naj ili waonje pepo ya mtume
Mimi hua nashangaa sana aisee ,nilijua labda niko peke yanguI agree, yaani ni sawa kumfananisha Shishi Baby na Rihanna.
We usipate nao shida hao tumewazoea na WANA stress ya KUTOKA PATUPU SOUNDCITY AWARDS...wanampa jamaa sifa nyiiiiiing afu hana jambo kwa vurugu alizofanya Diamond mwaka jana na show za mwaka huu mwanzon ulitegemea akose tuzo?...WANA STRESS HAO NA NYAU WAO WANAMFANANISHA NA SIMBA hahahahahaaaNi kweli Ali Kiba hapaswi kulinganishwa na Diamond, na hii ni simply tu kwakuwa mahadhi ya nyimbo zao hayafanani hata kidogo.
Uyo Ali hata kama hamfikii Diamond kwa uwezo kama mnavyompima bado ana flavour zake, words art ya kivyake na ana mashabiki wake wanaovutiwa na hiyo style yake na sio kwamba eti ni msanii aliyenyongorota kama msiompenda mnavyowish.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baraka ni mfamaji HahahahaaaBaraka the prince alishawahi kuhojiwa akasema hamjui Diamond wala hajawahi kumsikia, vijana wa wcb walishukia kama kunguru aliyeanua chupi ya mama mkwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Man water alijua Ali kiba kama 20% Asa anashangaa Mwana harekod kwake na anasumbua mtaani yeye na vijana wake kibinadamu lazima iume na utafute kaubaya kidogo umchafue mtu..hahahahahaaaaa maana tangu ally aache sijaskia tena ngoma Kali kutoka KOMBINENGAIla mwana kazingua kumzulumu man water kama vip atembeze bakuli tumchangie
Afu wananzengo nao wana stress zao za kukosa tuzo so ni vikao vizito vya ndani muda huu hawatamskia mzee Wa majungu na kulalamikahuyu jamaa anatafta huruma yawananzengo
Afu wote ni WASUKUMA hizi tabia za KIZARAMO wanazitoa wapi??Huyu nae kashakua kama dudubaya kutwa kuongea wenzake, mziki umemshinda amebakiza lawana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishi nayo hiyo..Mimi hua nashangaa sana aisee ,nilijua labda niko peke yangu
Unamlinganishaje international artist na local one
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alikuwa anagombea Mtanzania pekee yake?