MANILABHONA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 462
- 350
Huo ndo Ukweli Mkuu Ali kiba Alikua Anambeba Sana Man Water,Man water alijua Ali kiba kama 20% Asa anashangaa Mwana harekod kwake na anasumbua mtaani yeye na vijana wake kibinadamu lazima iume na utafute kaubaya kidogo umchafue mtu..hahahahahaaaaa maana tangu ally aache sijaskia tena ngoma Kali kutoka KOMBINENGA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Kiba anakaa kwenye ghorofa lake wengine mkodishoI agree, yaani ni sawa kumfananisha Shishi Baby na Rihanna.
Ila Kiba anakaa kwenye ghorofa lake wengine mkodisho
Labda China...Tanzania watu wanaona fahari kuonyesha mansionsWe hujui kwamba wapangaji ndio wenye pesa kuliko mwenye nyumba, au haujawahi kupanga boss?
Labda huko Kwenu NanjilinjiWe hujui kwamba wapangaji ndio wenye pesa kuliko mwenye nyumba, au haujawahi kupanga boss?
Apokee tuzo ajidai, tuzo zote kachukua Ali Kiba.Wakuu vipi Diamond, kapokea tuzo ngapi juzi?
Labda huko Kwenu Nanjilinji
Dogo mziki umemshinda so anachotafuta ni attention na huruma ya wananchi! Pole yake huyu kijana ni mweusi sana huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajulikana kama Baraka De prince.Baraka De Prince ndio nani jaMani
Mie mbon Simjui huyoo!!!!
Anajipendekeza WCB uyoKwani baraka yeye sio msanii wa muziki, kwanini asijilinganishe yeye na mondy?