unadhani kwanini Ngetti ametekwa mara 4 , kwani si ccm yule ?
Ameanza kama alivyoanza lowasa.Wakuu, natanguliza salamu za sikukuu, bila shaka mnasherekea kwa amani, hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu.
View attachment 1303247
Membe hafai kwa lolote ndani ya Chadema. Ameshiriki kwa namna moja ama nyingine kuifanya ccm hii ya kigaidi.Membe 2020 chadema anatosha wewe...
May Allah bless your dreams2020 ni Lissu Vs Magufuli na Lissu anashinda Magufuli anatangazwa kwa nguvu mataifa ya nje yanaingilia kati na jeshi linamtemesha tonge.
Jiongeze
Hii sio habari,nilidhani wapo kwenye kikao wanafanya mazungumzo kumbe wamekutana kanisani,halafu membe anageuka geuka kutafuta camera,Mnahangaika sanaWakuu, natanguliza salamu za sikukuu, bila shaka mnasherekea kwa amani, hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu.
View attachment 1303247
Ni ndoto Mkuu2020 ni Lissu Vs Magufuli na Lissu anashinda Magufuli anatangazwa kwa Naam Wardi wangu ayuni
Niliyekuweka mwangu moyoni
Kitambo sijakutia machoni mataifa ya nje yanaingilia kati na jeshi linamtemesha tonge.
Huyu jamaa ndio anamfanya jiwe aanguke kwakihoro na kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kumwongezea ugonjwa
Magufuli hawezi kusimama na Lissu , ataangukia pua vibaya sana !Ni ndoto Mkuu
watu wawili tofauti kabisa.Kila nikiona mtu wa upinzani akimshabikia Membe hua naona lile somo la Lowassa halikutuingia vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri amebobea baada ya kushindwa,Membe hana lolote zaidi ya kuwa Snitch, Alimfanyia usnitch Boss wake Mzee Kitine.Sasa huo ubobezi wake mbona hakuutumia 2015 ili ashinde ndani ya CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona aligombea 2015 na hakushinda! We ulikuwa wapi? Hukuona kilichotokea?Hapana Mkuu
Bernard Membe anafaa sana kugombea CCM.
Jamaa wameamua kwenda na Membe 2020
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Kamanda ndio maana nakwambia Chadema inaongozwa na walewale na tabia ni kama ngozi zaidi "you can't teach an old dogs new tricks"Mkuu tuachane na huyo Membe tumeshaumwa na nyoka Lowassa, hakuna mwanaccm anayetufaa tena.
Ni juu yetu kuanza kudai Tume huru ya uchaguzi na tuhakikishe tunaonyesha kuwa hakuna uchaguzi chini ya tume iliyopo.
Wananchi wameshaelewa, ni juu ya wapinzani kusukuma tu hiyo ajenda. Lissu kaonyesha njia jana.
Kwa hiyo mnataka Membe awe mbadala wa Lowassa 2020?kweli tabia ni kama ngozi!Hatari huioni? Mrithi wa Pengo anamchekea mbaya wa rafiki wa Pengo!
Hiyo clip lazima ipelekwe kule mapumzikoni ili ionwe na kujadili LA kufanya.
Nasikia hata yule aliyetekwa na kupatikana kesho yake Buguruni kaulizwa mawasiliano yake na jasusi.
Lakini pia mawasiliano yake na Msekwa na Msuya!
Chungu cha Lumumba kweli kinatokota, hakuna kuaminiana na watachapana sasa hivi. Wazee wote hawaaminiki sasa labda Mwinyi tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu kasema Rwaichichi ni kada wa ccm, na wanatumika na ccm ku mediate mgogoro wa Membe na ccm, sijui kama ni kweli au hisia zao tu.
Ikiwa ni kweli, ni kwamba Rwaichichi ana rithi mikoba ya Pengo na ikiwa ndivyo, kukutana kwake na B Membe ni faida kwa ccm au wale wafuasi wa Membe?!
Kamanda ndio maana nakwambia Chadema inaongozwa na walewale na tabia ni kama ngozi zaidi "you can't teach an old dogs new tricks"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu kasema Rwaichichi ni kada wa ccm, na wanatumika na ccm ku mediate mgogoro wa Membe na ccm, sijui kama ni kweli au hisia zao tu.
Ikiwa ni kweli, ni kwamba Rwaichichi ana rithi mikoba ya Pengo na ikiwa ndivyo, kukutana kwake na B Membe ni faida kwa ccm au wale wafuasi wa Membe?!