Video: Bibi atoa ya moyoni kuhusu unyanyasaji wa Ole Sabaya Arusha

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.

Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.

Your browser is not able to display this video.
 
Mtuhumiwa Lengai Ole Sabaya leo mahamani, zaidi ya kuzomewa na umati mkubwa wa watu kwa kumwita mwizi, ameendelea kulaaniwa na watu mbalimbali ambao amewafanyia uovu mbalimbali. Mmoja wapo ni bibi aliyejitokeza mahamani hapo akimlaani Ole Sabaya kwa kudhulumu mali na mashamba ya wajukuu zake.
Your browser is not able to display this video.
 
Hakika huyu Sabaya alikua na roho ya ushetani.huyu bibi ni mmoja kati ya wengi walioumizwa moja kwa moja na matendo ya Sabaya.Tuzidi kushukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuondelea mwendazake.
Your browser is not able to display this video.
 
Achane mahakama ifanye kazi yake. Hizo za bibi ni drama tu.....non sense. Wabongo kwa mapambio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…