Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto we dogo, unadhani anamiliki kiwanja hapa Dar? Huyo anamiliki shamba huko vijijini. Hapa Tanzania watu wengi wako huko vijijini, na karibia wote wanamiliki mashamba, lakini wana maisha magumu sana.Mama mwenyewe anaonekana analala kwenye vibanda vya mbege hata kiwanja hajawai kumiliki. Acheni siasa chafu kwa Sabaya.
Mama mwenyewe anaonekana analala kwenye vibanda vya mbege hata kiwanja hajawai kumiliki. Acheni siasa chafu kwa Sabaya.
Duh..hatarii hiiDuh! Jamaa anakula karanga na anaomba aongezewe. Ugali maharagwe ni noma.
😂😂😂😂 Hapo ndio shida mkuuHapo kwenye kuongezewa karanga hapoo
Anayeua kwa panga auwawe kwa panga!Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.
Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
View attachment 1822827
Wafanyabiashara wengi wa nchi hii wanamakando kando mengi na pia si wote wanaofanya biashara halali.Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.
Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
View attachment 1822827
Hiyo haiondoi uharamia wa SabayaWafanyabiashara wengi wa nchi hii wanamakando kando mengi na pia si wote wanaofanya biashara halali.
Wanapominywa waminywe tu hadi kieleweke.
Kuna mwarabu mmoja anauza budhaa za uvuvi maeneo ya Nera Mwanza, nilinunua bidhaa kwake na iyo bidhaa ilikuwa ya ushirika yani mimi na jamaa yangu.
Nilipomuagiza mtu akachukue ulemzigo wenye thamani ya 2M akampa risiti ya 750,000 nilipomrudia ili nipate risiti halali iwe ushahidi kwa mwenzangu kuwa nimenunua bidhaa zenye thamani fulani alikana na kusema kuwa ametoa risiti ya 2M na iyo ya 750,000 akasema labda alimuuzia mtu mwingine.
enzi za "mwendazake" leo leo "wasio julikana" wanaye.Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.
Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
View attachment 1822827
enzi za "mwendazake" leo leo "wasio julikana" wanaye.Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.
Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
View attachment 1822827
Wafanyabiashara wengi wa nchi hii wanamakando kando mengi na pia si wote wanaofanya biashara halali.
Wanapominywa waminywe tu hadi kieleweke.
Kuna mwarabu mmoja anauza budhaa za uvuvi maeneo ya Nera Mwanza, nilinunua bidhaa kwake na iyo bidhaa ilikuwa ya ushirika yani mimi na jamaa yangu.
Nilipomuagiza mtu akachukue ulemzigo wenye thamani ya 2M akampa risiti ya 750,000 nilipomrudia ili nipate risiti halali iwe ushahidi kwa mwenzangu kuwa nimenunua bidhaa zenye thamani fulani alikana na kusema kuwa ametoa risiti ya 2M na iyo ya 750,000 akasema labda alimuuzia mtu mwingine.
enzi za "mwendazake" leo leo "wasio julikana" wanaye.Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.
Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
View attachment 1822827
Bibi ameongea kwa uchungi sanaHakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema.
Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
View attachment 1822827