Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kulipuka kwenyewe....Gas haiwaki hivyo, labda ilipuke
Gari ipo intact, haijalipuka, na mtungi upo intactNdio kulipuka kwenyewe....
Angepelekewa 255 Jerry atupe ripoti kamili maana ndio ana deal na mjerumani zaidiHao ni walevi tu wanabwabwaja.
Kwani gas valves zikiwa wazi na moto ukaanza kuwaka si lazima itakuwa inawaka kwa pressure kadri inavyotoka kwenye mtungi mpaka iishe?Hukunielewa, nazungumzia flame inayoonekana kwenye video
Kuna gari utengenezwa ili zinapofikisha millage ya kilomita laki moja zibadilishewe oil filter, Air filter, engine check n.kWataalamu wa magari huwa wanashauri kuepuka matumizi ya gesi kwenye magari na badala yake ni Bora ununue hybrid car ili ufurahie maisha.
Tumeona wengi wamefunga CNG eti Kwa kuepuka gharama za mafuta kitu ambacho ni matatizo baadae kwenye engine hata Huko ulaya walishaacha haya matumizi ya gesi, huu mfumo hauna mpango wowote kwenye ulimwengu wa magari hasa Kwa magari ya ulaya
View attachment 3128530Mfumo WA CNG tuwaachie watu wa bajaj na Toyota kwasababu Yana mifumo rafiki Kwa technology hii
Kampuni nyingi huwa zinakuja zinaweka 100,000 limitKuna gari utengenezwa ili zinapofikisha millage ya kilomita laki moja zibadilishewe oil filter, Air filter, engine check n.k
Garivkampuni ya BMW huwa zinatengenezwa ili zisivuke millage ya kilomita laki moja ili waweze kuuza zaidi na inapofikisha hizo millage huanza kuwa na matatizo mengi
Huyo nae wale wale.Angepelekewa 255 Jerry atupe ripoti kamili maana ndio ana deal na mjerumani zaidi
Sahihi kabisaKwani gas valves zikiwa wazi na moto ukaanza kuwaka si lazima itakuwa inawaka kwa pressure kadri inavyotoka kwenye mtungi mpaka iishe?