Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stress za maishaSijaelewa unamaanisha nini
Ndo mambo uliyokuwa unafanya hayo...??Nmekumbuka heka heka za 2015 😃
Watu wamesha choka na kutawaliwa na CCM duu hatari kweli wanakubali korona kuliko CCM majangaa kweli
Acha tu ndio maana kisauti cha jaji lubuva kimegoma kutoka kichwani kwangu....Ndo mambo uliyokuwa unafanya hayo...??
Somebody wife material...😂
Aaaaaiiiseeee! Nimejikuta na recall na Mimi....nikaishia kuikumbuka safari ya matumaini iliyoanzia uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha,Msukuma alituwa na hericoptaAcha tu ndio maana kisauti cha jaji lubuva kimegoma kutoka kichwani kwangu....
Anna Mngwira ACT amepata kura 1538 sawa na asilimia 0.0001
Edward Ngoyai Lowasa CHADEMA amepata kura 20654 sawa na asilimia 12.2
John Joseph Magufuli CCM.....
Yani hiki kisauti hakitoki kichwani kwangu
Vipi sahivi libeneke litaendelea au ndo tia maji tia maji...?Acha tu ndio maana kisauti cha jaji lubuva kimegoma kutoka kichwani kwangu....
Anna Mngwira ACT amepata kura 1538 sawa na asilimia 0.0001
Edward Ngoyai Lowasa CHADEMA amepata kura 20654 sawa na asilimia 12.2
John Joseph Magufuli CCM.....
Yani hiki kisauti hakitoki kichwani kwangu
Weeee sina hamu matokeo yanasomwa na jaji nilipata homa....sitaki tena heka heka mie, naangalia tumbo langu tu.Vipi sahivi libeneke litaendelea au ndo tia maji tia maji...?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata mimi ningekuwepo eneo la tukio, ningewaunga mkono kuimba huo wimbo! 🗣️Bora Corona kuliko CCM!!
Aluta continua, hakuna kukata tamaa mremboWeeee sina hamu matokeo yanasomwa na jaji nilipata homa....sitaki tena heka heka mie, naangalia tumbo langu tu.
Hatari sana.Aaaaaiiiseeee! Nimejikuta na recall na Mimi....nikaishia kuikumbuka safari ya matumaini iliyoanzia uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha,Msukuma alituwa na hericopta
Sijaelewa unamaanisha nini