MmmmmmmhJana Mwenyekiti wao alimwambia Mungu Oyee, kama mwanasiasa mwenzake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmmmmhJana Mwenyekiti wao alimwambia Mungu Oyee, kama mwanasiasa mwenzake.
Ulitaka aseme shetani oyeeJana Mwenyekiti wao alimwambia Mungu Oyee, kama mwanasiasa mwenzake.
Magufuli anamzalau mpaka Mungu wa mbinguni. Eti Mungu oyeeeHuwezi kusema "Mungu oyee". That simply is a blasphemy. Kama kuna sababu ya kumtukuza Mungu, basi unaweza kuwaambia watu wapige makofi na vigelegele kwa Mungu. Lakini siyo "Mungu oyeee"
Upuuzi huu,Kama mkatoli nimechukia kitendo hiki
Ndio huyo mnaemshabikia kashasema sasaHuwezi kusema "Mungu oyee". That simply is a blasphemy. Kama kuna sababu ya kumtukuza Mungu, basi unaweza kuwaambia watu wapige makofi na vigelegele kwa Mungu. Lakini siyo "Mungu oyeee"
Kwa mara ya kwanza nimekutana na ushenzi unaochekesha!Niushenzi uliopitiliza
Blasphemy!Hii hapa jionee mwenyewe
View attachment 1574087
Acha uongo wewe mtu mzima, alisema Mungu oyee wapi?Jana Mwenyekiti wao alimwambia Mungu Oyee, kama mwanasiasa mwenzake.
Hilo neno Magufuli ameliongea zaidi ya mara moja kwenye kampeniAcha uongo wewe mtu mzima, alisema Mungu oyee wapi?
Pumbavu kabisaHii hapa jionee mwenyewe
View attachment 1574087
😆😆😆Pumbavu kabisa
Una uhakika kweli amesema Mungu oyee??????Hilo neno Magufuli ameliongea zaidi ya mara moja kwenye kampeni
Hii hapa jionee mwenyewe
View attachment 1574087
Hakuna computer hapa acha kudanganya watuLakini sasa na wewe mkuu, Kwa heshima yako yote hapa, umeamua kuanza kuivunja Kwa maksudi siyo?
Yaani unataka tuanze kukudharu siyo?
Unashindwa tu kuielewa hiyo kwamba ni computer zimechezeshwa hapo?