Uchaguzi 2020 Video: CCM yaanza kutumia maudhui ya kanisa kuomba kura, wadau wasema ni kejeli kwa Mungu

Uchaguzi 2020 Video: CCM yaanza kutumia maudhui ya kanisa kuomba kura, wadau wasema ni kejeli kwa Mungu

huyu jamaa inabidi awepo kwenye Team ya kampeni kuanzia sasa...ha ha ha
 
Best usisahau huyo alishajiita JIWE na MWENDAWAZIMU hivyo akili yake ina mushkeli tena mkubwa tu. Binadamu mwenye akili timamu hawezi akadharau utu wake kiasi hicho.

Jana Mwenyekiti wao alimwambia Mungu Oyee, kama mwanasiasa mwenzake.
 
Huwezi kusema "Mungu oyee". That simply is a blasphemy. Kama kuna sababu ya kumtukuza Mungu, basi unaweza kuwaambia watu wapige makofi na vigelegele kwa Mungu. Lakini siyo "Mungu oyeee"
Zaburi 1:1 - 6
Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa. Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo. Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki. Kwa kuwa BWANA anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.
 
Zaburi 1:1 - 6
Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa. Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo. Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki. Kwa kuwa BWANA anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.
asipoelewa hapo basi tupige ishara ya msalaba
 
Hakuna kosa kumshangilia Mungu kwa "Mungu oyeeeeeee!"
 
Kuna mmoja wa chama chenye makao yake kwenye mti wamsumbawa (taja kabila), amepigwa picha na mtu ambaye anadhaniwa ndiye mbobezi wa kuingiza siasa kwenye maudhui ya dini na pia kuingiza madhui dini kwenye siasa!!! Huyo mtu wa chama mleta mada hii atoe ufafanuzi alitafuta nini kule!?

JF raha sana!
 
Back
Top Bottom