Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

mawakala wa mapenzi ya jinsia moja wapo kazini: ujumbe mkuu hapa ni kwamba wamekamata kila sekta mpaka kwenye vyombo vya ulinzi wapo.

inasikitisha sana.
 
Mara 60 imekuvutia sana?
 
Mi naangalia najitambua najua Ni tendo la dhambi sitalifanya hata mpk Dunia iishe,yeye mwenyewe aliyejichukua video alitegemea Nini Sasa
In every action there is an opposite and equal reaction


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Vipi vile vitoto vilivyonyanduliwa na mwanzilishi wetu? Na ahadi ya mabikra imeondolewa?
 
mungu alipo kataza jambo aliweka na hukumu yake,leo watu hawataki tena kuhukumiwa na seriya za mungu wanasema walisha kombolewa kwenye laana ya taurati hacha wahukumiwe na sheriya za kuzungu
 
Yes, au wahasiwe tu. Unapasuliwa map*mbu na nyundo bila ganzi! 😕
 
Mantiki yangu ipo kwenye usambazaji wa picha
Embu chukulia mfano huyo angekua ndiguyo au mzazi wako

Msimamo wangu Napinga ushoga na mashoga...

Hivo vitendo vya usambazaji wa picha zake kunaweza kupelekea mambo mengi Kwa familia yake pia....
 
Subhaana lllaaah...!!!aseehhhh!!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…