Video chafu ya Baba Askofu Josephat Gwajima Yavuja...

Status
Not open for further replies.
jamaa anafanana ila sio menyewe kabisa, ni kama njama flani imechezwa

Mdude the great nikututoa kwenye mjadala

Ataibuka kwajima na facts watu wataumbuka, let's wait...... a matter of time
 
Tupien hapa wakuu!
 
Ndio maana hawa watu wanaojiita manabii na mitume huwa nawaasa sana watu kutowaamini.hatujui unabii na utume wao utokako! Tuwe makini sana hata kuwekewa mikono nao kwani sio kila mikono ina baraka za Mungu mingine ni yule aliye kinyume na Mungu..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…