Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa Serikali kutaka kuwa CORRUT.

Je huyu Jaji "Y" ni nani? Na Je huyu Tapeli "Z" ndiye Alex Msama au Mushi?

Haya wataalamu wa mambo ya ARDHI tufungulieni codes.
---
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema kuwa ameandika barua kwenda kwa Waziri wa Katiba na Sheria kufuatia jaji mmoja wa mahakama kukiuka kanuni za taaluma.

Waziri Silaa akihitimisha hoja ya bajeti yake bungeni amesema kuwa mwaka 2015 jaji huyo alikuwa wakili, na akamsaidia tapeli mmoja kuchukua ardhi ya watu.

Amesema warithi wa aliyetapeliwa walipoenda makamani hivi karibuni, wamekuta wakili yule sasa ni jaji, bado akaamua kwa kumnufaisha tapeli.

Amesisitiza kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria, na kwamba jambo hilo amelichukua yeye ili kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake na haki inapatikana.

Credit: TBC
 
View attachment 3001106
Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa Serikali kutaka kuwa CORRUT.

Je huyu Jaji "Y" ni nani? Na Je huyu Tapeli "Z" ndiye Alex Msama au Mushi?

Haya wataalamu wa mambo ya ARDHI tufungulieni codes
Anachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
 
Anachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
Wacha auingilie tu huu mhimili maana umepoteza credibility. Kuna Jaji mwanamke anaitwa Leila Mgonya aliharibu kesi yangu sababu ya rushwa
 
View attachment 3001106
Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa Serikali kutaka kuwa CORRUT.

Je huyu Jaji "Y" ni nani? Na Je huyu Tapeli "Z" ndiye Alex Msama au Mushi?

Haya wataalamu wa mambo ya ARDHI tufungulieni codes
Keep going mhe waziri. Nimeshtushwa na judge yuko included kwenye hili, seems mizizi ni mirefu mno. Mirefu sana na hii ni tip of iceberg
 
Huku kijijini kwetu baadhi ya watu ninao wajua washaanza na mimi naenda kutafuta kiwanja changu nikienda mjini. Sasa hivi wizara ina yule kijana (jina lake awamjui) anafanya kazi sana amuonei mtu.

Piga kazi Jerry, shida ya watanzania sasa kipindi hiki kuna waziri anaesaidia kuna watu wamelala. Siku akitolewa hapo utasikia kuna raia wanalalamika wana migogoro ya ardhi toka 2010 aina suluhisho. Wanafanya nini kipindi hiki kuna waziri wa kupigania haki zao wanajua wenyewe.
 
View attachment 3001106
Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa Serikali kutaka kuwa CORRUT.

Je huyu Jaji "Y" ni nani? Na Je huyu Tapeli "Z" ndiye Alex Msama au Mushi?

Haya wataalamu wa mambo ya ARDHI tufungulieni codes
Makonda aliyasema haya kuwa nchi hii hakuna haki kwa masikini,kila mtu aliinuka na kumtukana, Sijui kwa Jeri Slaa mtasemaje, Kweli nchi imeisha hoza.
 
Ndio shida ya vyeo vya kupeana kisiasa...had wanapata watu wasio na credibility.
Unaweza kuta u-judge alipewa coz alikua anatolewa kwenye nafasi aliyopo ili kumpisha mwingne na hakukuwa na sehem ya kumpeleka lkn akapewa tu km kumpoza.Wengi sana wamepewa u-judge kwa design hyo
 
Back
Top Bottom