Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Wakati akiwa jukwaani akiperform huko Sumbawanga, ghafla jukwaa lilivunjika lakini kwa bahati nzuri hamna aliyepoteza maisha zaidi ya Diamond kuteguka kiuno na hivyo kuwaishwa Dar kwa helkopta kwa matibabu zaidi.
Kwa kucheza huku kwa nini jukwaa lisiangunge