Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga tuSitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 1688331
Wazungu ndio wameathirika zaidi!Mbowe anaongea kama mtu aliyekata tamma na hawezi kwenda mbele mpaka apate msaada. Majuzi rais Magufuli alisema ni aibu kwa taifa kushindwa kutengeneza dawa zake zenyewe, leo tunaona mgawano wa chanjo ya Corona duniani, Afrika haitapata chanjo za kutosha mpaka 2023 pale wazungi watakapo maliza kuchanjana.View attachment 1688353
Kwani wewe huwezi kuongea hayo?Jamaa yupo vizuri sema nchi zetu ni za hovyo sn
mmeshindwa kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda ambayo mnalima kanda ya ziwa , mtaweza dawa ya corona ?Mbowe anaongea kama mtu aliyekata tamma na hawezi kwenda mbele mpaka apate msaada. Majuzi rais Magufuli alisema ni aibu kwa taifa kushindwa kutengeneza dawa zake zenyewe, leo tunaona mgawano wa chanjo ya Corona duniani, Afrika haitapata chanjo za kutosha mpaka 2023 pale wazungi watakapo maliza kuchanjana.View attachment 1688353
Jiwe mwenyewe anatamani angekuwa MBOWESitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 1688331
Kwamba awe anakunywa konyagi?Jiwe mwenyewe anatamani angekuwa MBOWE
Ni ubaguzi tu, kuna nchi kama Canada wanakalia chanjo inayoweza kuchanja wananchi wao mara 5 (x5) na ikabaki. Juzi tu rais wa SA kawafokeaa wazungu kwa ubaguzi wao.Wazungu ndio wameathirika zaidi!
Kwahiyo Lema amebahatika?!Ni ubaguzi tu, kuna nchi kama Canada wanaokalia chanjo inayoweza kuchanja wananchi wake mara 5 (x5) na ikabaki. Juzi tu rais wa SA kawafokeaa wazungu kwa ubaguzi wao.
Zile za EU ambazo matumizi yake yanahojiwa mliziomba za nini kama hamuhitaji kusaidiwa?Hiyo approach yake ya kusema Ukweli ili sijui watu wajue ukubwa watatizo watusaidie haina mashiko, Mpaka sasa hakuna Taifa hata moja ambalo limeweza kujisaidia lenyewe sasa huo msaada tungeupata kutoka wapi?
Hata hizi sarakasi za chanzo ni questionable na nina side na President Magufuri, the world is quite ignorant of what brought this deadly deseases? what cures it, etc alafu eti wanadai kuna chanjo.
Yaani chanjo inapatikana kabla ya Dawa? imeishawahi tokea hii?