Pre GE2025 VIDEO: Godbless Lema afichua mbinu alizotumia kumuombea Lissu Kura za Uenyekiti CHADEMA Taifa

Pre GE2025 VIDEO: Godbless Lema afichua mbinu alizotumia kumuombea Lissu Kura za Uenyekiti CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Baada ya uchaguzi wa Januari 19-20, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, ameweka wazi mbinu alizotumia kuhakikisha Tundu Lissu anapata kura za kutosha kutoka kwa wajumbe na kuibuka mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa wa chama hicho.

IMG_2725.jpeg
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Kupitia mtandao wa X (zamani twitter) ame-share video kadhaa akionekana busy akipiga simu kuomba Kura kwa Wajumbe.
IMG_2721.jpeg



 
Nabii Godbless Lema Arusha wanapanga maandamano makubwa ya kukupokea jiandae kwa Ubunge uliotukuka.✌️

Mrisho Gambo ajiandae kutafuta kazi nyingine.
Alishasema kuwa hana mpango wa kugombea ubunge mwaka huu. Labda aamue kubadilishia gia angani, kwa kuwa wanasiasa hawaaminiki. Anaweza kusema hivi leo na kesho akasema vingine.
 
Mwamba ni mtoto wa mjini, kuna mdau hapa jf alikuja na wasiwasi juu ya Lema kuwa msimamizi wa kura za lissu , nilimwambia tulia kama lema amekua mbunge wa Arusha jiji sio mtu wa mchezo ,akasema nakubari bro upako wako
unazani mtibeli alikuwa hajui ilikuwa maboya tu
 
Haina neno chama washapewa kazi kwao, watanzania wanataka Big Results Now..
 
Back
Top Bottom