Pre GE2025 VIDEO: Godbless Lema afichua mbinu alizotumia kumuombea Lissu Kura za Uenyekiti CHADEMA Taifa

Pre GE2025 VIDEO: Godbless Lema afichua mbinu alizotumia kumuombea Lissu Kura za Uenyekiti CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu

Baada ya uchaguzi wa Januari 19-20, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, ameweka wazi mbinu alizotumia kuhakikisha Tundu Lissu anapata kura za kutosha kutoka kwa wajumbe na kuibuka mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa wa chama hicho.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Kupitia mtandao wa X (zamani twitter) ame-share video kadhaa akionekana busy akipiga simu kuomba Kura kwa Wajumbe.
View attachment 3211915
View attachment 3211909
View attachment 3211911
View attachment 3211912
It was a real fight
 
There is plenty to regret. Kwa simulizi zake ni kuwa Mbowe alikuwa ni kama ndugu yake. Kila mtu aliona ukaribu wao. Nahisi Lema alikuwa anaweza kuingia nyumbani kwa Mbowe wakati wowote aliotaka. Na familia zao zilikuwa karibu.
Sidhani kama tatizo ni Lema kumuunga mkono na kumfanyia kampeni Lissu. Tatizo ni aina ya kampeni walizofanya na yeye akishiriki kikamilifu. Kampeni zilikuwa mean spirited zilizojaa uongo. K.m.
1. Lissu alianzisha kampeni ya kuhusu pesa za mama Abduli. Kwa wengi wetu alikuwa anasema kuwa Mbowe ni corrupt na yuko mfukoni mwa mama Abduli. Kwa vile Lema anamjua vizuri kaka yake angeweza kusema kuwa Mbowe sio corrupt. Kunyamaza kwake kukaipa miguu tuhuma hizo.
2. Lissu alisema kuwa source ya pesa za Mbowe hazijulikani. Akadai kuwa hata TIN number hana. Hii ina maana kuwa pesa za Mbowe ni chafu. Lema akanyamaza.
3. Mashabiki wa Lissu wakawa wanadai kuwa Mbowe ni pandikizi la CCM. Lema akanyamaza.
Tuhuma kama hizi na nyingine ziligusa kabisa character ya Mbowe.
Leo hata wajaribu vipi kum sopu sopu, maji yameishamwagika. Utasemaje kuwa mtu corrupt, pandikizi la CCM, mwenye biashara haramu n.k. bado mnamhitaji? Mbowe anaweza kuwasamehe kwa maneno lakini ndugu zake hawata sahau.
Swali kwa Lema ni kuwa was it all worth it? Kuacha ndugu yako ana chafuliwa kwa sababu tu za kisiasa? Atakuwa na wakati mgumu sana.

Amandla...
Kwa mujibu wa maelezo ya Lema ni kuwa Mbowe na watu wake walikuwa na mpango wa kumuondoa kamati kuu asishinde uongozi wa kanda, kuwezesha asishinde ugombea ubunge,n.k.

Kwa namna nyingine tuseme walikuwa wanamkatia mirija ya chakula, wanauwa mustakabali (future) wake wa kisiasa. Would you still consider a brother a person who does that to you?
It seems Mbowe pushed his young brother too far, Lema couldn't hold it any more.

Ulimsikia anasema ilibidi aende kuongea na wazazi wake kwanza, nduguze kisha watu ambao wapo pamoja kwenye kikundi chao kama Kaka.
What Lema has already said it's just a tip of the iceberg, alot happened behind the scenes. Kulinda heshima ya Mbowe mengi hajasema ni vile yeye anaonekana villain, traitor au hypocrite (mnafiki).
 
Wakuu

Baada ya uchaguzi wa Januari 19-20, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, ameweka wazi mbinu alizotumia kuhakikisha Tundu Lissu anapata kura za kutosha kutoka kwa wajumbe na kuibuka mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa wa chama hicho.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Kupitia mtandao wa X (zamani twitter) ame-share video kadhaa akionekana busy akipiga simu kuomba Kura kwa Wajumbe.
View attachment 3211915
View attachment 3211909
View attachment 3211911
View attachment 3211912
really?

yaani unanipigia simu kuniomba kura hlf unaishia kusema "napiga cm kumuombea kura ...."
😳😳!?
bado tuna safari ndefu sana
 
Kwa mujibu wa maelezo ya Lema ni kuwa Mbowe na watu wake walikuwa na mpango wa kumuondoa kamati kuu asishinde uongozi wa kanda, kuwezesha asishinde ugombea ubunge,n.k.

Kwa namna nyingine tuseme walikuwa wanamkatia mirija ya chakula, wanauwa mustakabali (future) wake wa kisiasa. Would you still consider a brother a person who does that to you?
It seems Mbowe pushed his young brother too far, Lema couldn't hold it any more.

Ulimsikia anasema ilibidi aende kuongea na wazazi wake kwanza, nduguze kisha watu ambao wapo pamoja kwenye kikundi chao kama Kaka.
What Lema has already said it's just a tip of the iceberg, alot happened behind the scenes. Kulinda heshima ya Mbowe mengi hajasema ni vile yeye anaonekana villain, traitor au hypocrite (mnafiki).
Ni hypocrite. Mbowe alipoteza imani nae alipopata taarifa za yeye kuwa sehemu ya mpango wa siri wa kumpindua. Mtu yeyote angekasirika.

Of course, a lot has happened behind the scene. Tunasahau kuwa hawa walikuwa enthusiastic supporters na enablers wa mambo haya yalipowakuta ambao hawakuwapenda. Wakina Lwakatare, Selasini, Sumaye n.k. waliondolewa kihuni tu. Mbona hawakulalamika wakati ule? Wanajifanya wameokoka baada ya nao kuwakuta.

Vyama vyote vya siasa vinakuwa na system za kuhakikisha wale ambao wanaona ni tishio kwa afya yake hawapati nafasi ambako wanaweza kusababisha hasara kubwa.

Mimi sitashangaa kusikia kuwa Nyalandu alifanyiwa uhuni ili kuhakisha Lissu anakuwa mteule wa chama kugombea.
Ya familia ni magumu kuyapoza. Lema amesema wazi kuwa kuna ambao hawakukubaliana na uamuzi wake.

Amandla...
 
Back
Top Bottom