Pre GE2025 VIDEO: Godbless Lema afichua mbinu alizotumia kumuombea Lissu Kura za Uenyekiti CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
It was a real fight
 
Kwa mujibu wa maelezo ya Lema ni kuwa Mbowe na watu wake walikuwa na mpango wa kumuondoa kamati kuu asishinde uongozi wa kanda, kuwezesha asishinde ugombea ubunge,n.k.

Kwa namna nyingine tuseme walikuwa wanamkatia mirija ya chakula, wanauwa mustakabali (future) wake wa kisiasa. Would you still consider a brother a person who does that to you?
It seems Mbowe pushed his young brother too far, Lema couldn't hold it any more.

Ulimsikia anasema ilibidi aende kuongea na wazazi wake kwanza, nduguze kisha watu ambao wapo pamoja kwenye kikundi chao kama Kaka.
What Lema has already said it's just a tip of the iceberg, alot happened behind the scenes. Kulinda heshima ya Mbowe mengi hajasema ni vile yeye anaonekana villain, traitor au hypocrite (mnafiki).
 
really?

yaani unanipigia simu kuniomba kura hlf unaishia kusema "napiga cm kumuombea kura ...."
😳😳!?
bado tuna safari ndefu sana
 
Ni hypocrite. Mbowe alipoteza imani nae alipopata taarifa za yeye kuwa sehemu ya mpango wa siri wa kumpindua. Mtu yeyote angekasirika.

Of course, a lot has happened behind the scene. Tunasahau kuwa hawa walikuwa enthusiastic supporters na enablers wa mambo haya yalipowakuta ambao hawakuwapenda. Wakina Lwakatare, Selasini, Sumaye n.k. waliondolewa kihuni tu. Mbona hawakulalamika wakati ule? Wanajifanya wameokoka baada ya nao kuwakuta.

Vyama vyote vya siasa vinakuwa na system za kuhakikisha wale ambao wanaona ni tishio kwa afya yake hawapati nafasi ambako wanaweza kusababisha hasara kubwa.

Mimi sitashangaa kusikia kuwa Nyalandu alifanyiwa uhuni ili kuhakisha Lissu anakuwa mteule wa chama kugombea.
Ya familia ni magumu kuyapoza. Lema amesema wazi kuwa kuna ambao hawakukubaliana na uamuzi wake.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…