Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Unapanua magoli?Tukumbuke pia kuwa kuna msemo wa Kiingereza usemao
"It is ONLY A FOOL WHO DOES NOT CHANGE HIS MIND"
Kwa kiswahili
"NI MTU MJINGA PEKEE ambaye HUWA HABADILI MSIMAMO ama MAWAZO yake"
Unalionaje hilo Erithrocyte?
Mtapata tabu sana,mtumishi wa mungu lazima aipeleke injiri bungeni,
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Nakuomba usirushe ile ya Dakika mbili akipiga penati na kufunga, tafadhali sana naomba tumsitiriKwa vile ndugu mtumishi umeamua mwenyewe kugombea ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Niambie mcheza movie gani was ngono anaheshima katika jamiiKama Gwajima ni takataka, wewe utakuwa nani mkuu?
ninazo 10 za namna ile , unaizungumzia ipi ?Nakuomba usirushe ile ya Dakika mbili akipiga penati na kufunga, tafadhali sana naomba tumsitiri
Hao wanaitwa waganga njaa!!Kwa vile ndugu mtumishi umeamua mwenyewe kugombea ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Haya si ni majizi kama majizi ya mitaaniKwa vile ndugu mtumishi umeamua mwenyewe kugombea ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Kwa hivyo wenye misimamo wote ni fools!!??Tukumbuke pia kuwa kuna msemo wa Kiingereza usemao
"It is ONLY A FOOL WHO DOES NOT CHANGE HIS MIND"/
Kwa kiswahili
"NI MTU MJINGA PEKEE ambaye HUWA HABADILI MSIMAMO ama MAWAZO yake"
Unalionaje hilo Erithrocyte?
Ila gwajima hajielewi, mara anajipendekeza chadema, mara ccm saivi tena anautaka ubungeKama Gwajima ni takataka, wewe utakuwa nani mkuu?
Kutoka Askofu mwenye waumini kila mkoa mpaka ubunge wa jimbo hiyo ni DemotionKwa vile ndugu mtumishi umeamua mwenyewe kugombea ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Yeye sio mzinzi ?
uzuri wa huyu bwana ni kwamba, wewe mwenyewe ndo utaamua umuweke kundi gani kila sehemu yupo .Kwa vile ndugu mtumishi umeamua mwenyewe kugombea ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Kwa hiyo ameamua kuji-demote mwenyewe na kula matapishi? Kwa kweli kutamka neno kwa jazba haifai maana kesho yake tu linakurudi mwenyewe!!!!Kwa vile ndugu mtumishi umeamua mwenyewe kugombea ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Wewe mwaga upupu kama wote afurahi na roho yake. Mbona yeye alimtukana sana Cardinal Pengo?ninazo 10 za namna ile , unaizungumzia ipi ?