Nami nashangaa, Mungu amekataza mwanadamu asiape kwa kinywa chake. Mtumishi wa Mungu ambaye ni halisi hawezi kuacha ministry yake na kwenda kugombea siasa.Kwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Starting for wrong reason influence quiting for wrong reason.