Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha woga mama kulialia. Jimbo linarudi Ccm.Kwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
View attachment 1496174
Naona binti tope lako ni gumu sana linahitaji 7 inch punguza sana kula makende.Kama ulivyotifuliwa ww umebaki kupandwa tu mambo yakae sawa
Kuna tatizo akisema ivyo!Atakuja kusema Roho Mtakatifu amemlazimisha agombee Ubunge ili aipeleke Injili Mjengoni.
Ayo umesema wwNilisema huyo anajivua nguo mwenyewe kwa kiingia kwenye siasa.
Haya sasa, atajavuliwa na taulo aliyonayo
Ataeleweka soon Ayo ni maneno yk wwNouma sana, af jamaa haeleweki mara afanye uzinzi yaan taabu tupu
Mungu akusamehe wewe kwa kuropoka ropokaHuyu ni tapeli wa kidini wala siyo mtumishi wa MUNGU msamehe bure
Na sisi tuna taka kiongozi wa namna hiyo atutafune vizuri akiwa bungeni shwaini weweGwajima ni jambazi la kiroho, zee la kutafuna kondoo kavu kavu
Kumbusha familia yako kunawa mikono corona bado ipo ayo mengine ayakuusuWala hatuna shida na jambo hilo , tunahitaji kukumbushana tu
Wewe atakuwepo duniani ufai ,unayaona ya wenzioHafai kwa ubunge, hafai kwa utumishi wa Mungu.
Ata ukirusha ndo kashakua mbungeNakuomba usirushe ile ya Dakika mbili akipiga penati na kufunga, tafadhali sana naomba tumsitiri
Sema atapita na sio kupitishwa ,alafu kichaa unacho wewe unae andika upuuzi wa namna hiiHuyu jamaa ana nyodo sana sasa tunaomba CCM mpitisheni agombee ili tupate kikaango cha kumkaangia kwani alikuwa anaringia kushambulia watu kwenye mimbari kanisani sasa kajileta huku tutahakikisha ule ugonjwa wake wa kichaa unarudi upyaaaaaa kwani chizi huwa haponi.
Dunia nzima wacheza ngono nawe ukiwepo,au unataka kuniambia wewe ugongani? Acha ushabwadu weweNiambie mcheza movie gani was ngono anaheshima katika jamii
Ya Gwajima kuenda bungeni ndo tunacho kizungumzianinazo 10 za namna ile , unaizungumzia ipi ?
Kibaya kwakoTechnologia ni kitu kizuri na pia ni kibaya mno.
Yaap!!!.Anahubiri asichokiamini.. Anaamini asichokihubiri
Ulishawai kuona mganga analalamika njaaa ! Wakati nyama anapelekew kila leoHao wanaitwa waganga njaa!!