Hehehe huu wimbo Putin alishautelekeza nyie wa kwa Mtongole hapo Bongo bado mnauimba, kuhusu kuzuia Ukraine kujiunga NATO sio kipau mbele tena, amebaki kukusanya wanywa gongo na wafungwa wajaribu kusaidia kwenye kupunguza mapigo wanayopokea kutoka kwa machizi wa Ukraine, ila kipigo kiko pale pale, HIMARS zinarindima balaa la kufa mtu.