VIDEO: Halima Mdee na wenzake walivyopewa wasaa wa kuomba msahama Baraza Kuu CHADEMA

VIDEO: Halima Mdee na wenzake walivyopewa wasaa wa kuomba msahama Baraza Kuu CHADEMA

Cicadulina

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
977
Reaction score
2,370


Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe alitoa nafasi ya wabunge wa viti maalum 19 kuomba msamaha kwa yaliyotokea kabla ya kupiga kura za kuwafukuzwa uanachama.

Fursa ya kuomba radhi haikutumiwa na yeyote kama alivyokusudia mwenyekiti ambapo kura zilipigwa kuamua kama wabaki au wafukuzwe na wengi wakaridhia wafukuzwe uanachama.
 
Haiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.

Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni

Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
 
Haiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.

Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni

Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Hebu weka hiyo video
 
Ipo, inatembea sana mitandaoni, ntaiweka hapa, Mbowe anawabembeleza COVID 19 wakaapishwe na anawahakikishia chama kitawapa barua ya utambulisho
Kwahiyo walikuwa wameshafikia hatua ya kutambulishwa kabla chama hakijatoa barua ya utambulisho sasa huko kwenye kuapishwa walikuwa wametambuliwaje. Mambo mengine akiongea mtu mzima yanashangaza sana
 
Ipo, inatembea sana mitandaoni, ntaiweka hapa, Mbowe anawabembeleza COVID 19 wakaapishwe na anawahakikishia chama kitawapa barua ya utambulisho
Mtu mwongo utamjua tu maana hatunzi kumbukumbu. Kauli yako hii inathibitisha uongo wako...

Unasema;

✓ "Mbowe anawabembeleza COVID-19 wakaapishwe"

✓ Halafu Mbowe huyo huyo anawakikishia kuja kuwapa barua za utambulisho baada ya kuapishwa..!

Looh, what a coincidence is this that leads to a big lie 🤥🤥🤥🤥!

Wewe ni MWONGO. Hujui lolote...!
 
Nipe PM hio clip it can't be mbowe afanye huo ujinga?!!!

Kwa jinsi alivyokuwa anawabembeleza kuna kitu nyuma ya pazia kitakacho msubua sana Mbowe!! Asipotumia busara na kumpisha mwingine kuongoza chama muda si mrefu atapata aibu na hata kuwa na heshima tena kama kiongozi!! THE WRITTING IS ON THE WALL HE SHOULD READ AND UNDERSTAND.
 
Kwa jinsi alivyokuwa anawabembeleza kuna kitu nyuma ya pazia kitakacho msubua sana Mbowe!! Asipotumia busara na kumpisha mwingine kuongoza chama muda si mrefu atapata aibu na hata kuwa na heshima tena kama kiongozi!! THE WRITTING IS ON THE WALL HE SHOULD READ AND UNDERSTAND.
Video please
 
Halima alisema Mbowe kafanya uhuni lakini imedhihirika nani ni mhuni.
Halima Mdee kashalishwa uhuni na maCCM, Esther Bulaya kamharibu Mdee yule original.

Hivi Mdee nafsi haimsuti uhuni aliofanyiwa Kawe akakamata kabisa na mabegi ya kura fake za wizi leo anaungana na maCCM?!!

Halima huyu huyu aliekua mkali sana kwa wasaliti kama Dr Mashhinji hadi akawa hataki hata salamu take leo Hakika ndio muongoza usaliti?!!
 
Back
Top Bottom