Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,864
- 5,695
Kwani hao unao wasemea hayo si wamepewa nafasi hapo wangesema Mbele ya Baraza kuwa wanaonewa bure lakini wamenyuti kimya wakijua ubunge wao hakutoja CHADEMA na hawana ushahidi wewe kibwetele.Haiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.
Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni
Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika