VIDEO: Halima Mdee na wenzake walivyopewa wasaa wa kuomba msahama Baraza Kuu CHADEMA

VIDEO: Halima Mdee na wenzake walivyopewa wasaa wa kuomba msahama Baraza Kuu CHADEMA

Haiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.

Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni

Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
yaani ili mtu akaapishwe anapaswa kushawishiwa? how?
 
Kwahiyo Mbowe alimbeba tu na kumpa Ubunge wa Viti Maalumu akiwa hana potential yoyote? Na Chadema wakampa Uwenyekiti wa BAWATA akiwa hana potential yoyote? Basi sawa!
Alikua groomed.... Akafundishwa siasa. Alikua hata Hana confidence ila alipikwa akawa anajiamini hadi kubeba Jimbo

Sio huyo tu yupo Matiko,Kishoa, Zubeilda (Hyu alifuatwa Mzumbe) na Shonza walikua nothing wakapikwa hadi wakawa wabunge then Leo hii unasema nni wwe?

Tatizo watu wakishapata majina mnadhani walifika hapo kwa juhudi zao pekee. Kma Mbowe angekua mkabila au dikteta angejihangaisha kuwajenga hao mabinti?
 
Kati ya hao wanawake wanajua mambo mengi sana ya Mbowe kiasi kwamba wakifunguka ndio utakuwa mwisho wake kwa aibu; ndio maana watu wanaomtakia mema wanamshauri kuwa afadhali achutame ili ajisitiri!!
Dr.slaa, Mashinji, na zitto walipoondoka mlisema hivo hivo ila mpaka Leo kimyaaaa. Mbowe is better than you think otherwise CHADEMA ingekufa kma CUF au NCCR
 
Halima Mdee kashalishwa uhuni na maCCM, Esther Bulaya kamharibu Mdee yule original.

Hivi Mdee nafsi haimsuti uhuni aliofanyiwa Kawe akakamata kabisa na mabegi ya kura fake za wizi leo anaungana na maCCM?!!

Halima huyu huyu aliekua mkali sana kwa wasaliti kama Dr Mashhinji hadi akawa hataki hata salamu take leo Hakika ndio muongoza usaliti?!!
Unaweza kuta ccm walipigia hesabu udhaifu wa mdee kwa wanawake wenzie wakaamua kumtuma Bulaya ajifanye kutoka ccm ili wawe wapenz kisha siku kama hii ilipofika mzee Mdee chalii alishamalzwa siku nyiiingi kwa utamu wa sukari ya Bulaya
 
Inashangaza kwa kweli, na haieleweki ni nini hasa kilitokea ghafla namna ile hadi kumharibu akili zote vile huyu binti.

Kuna jambo, na nadhani Mbowe analifahamu vyema, lakini hawezi kulizungumzia.
Kusuguana mbunye unadhani kutaiacha afya ya akil salama??kasagwa mpaka akili zimemuishia kawa bogus kabisaa
 
Dr.slaa, Mashinji, na zitto walipoondoka mlisema hivo hivo ila mpaka Leo kimyaaaa. Mbowe is better than you think otherwise CHADEMA ingekufa kma CUF au NCCR
Mimi nina hofu tofauti kabisa na huyo uliyemjibu hapo juu ya Mbowe safari hii kutoweza himiri dhoruba itakayoikumba CHADEMA.

Mbowe na CHADEMA wameweza kuvuka vikwazo vilivyotumia nguvu kujaribu kuwamaliza, lakini badala ya kuwamaliza vikawa vinawaimarisha zaidi.
Safari hii, 'approach' itakuwa ni tofauti, itakuwa ni 'soft but more lethal'.
 
Alikua groomed.... Akafundishwa siasa. Alikua hata Hana confidence ila alipikwa akawa anajiamini hadi kubeba Jimbo

Sio huyo tu yupo Matiko,Kishoa, Zubeilda (Hyu alifuatwa Mzumbe) na Shonza walikua nothing wakapikwa hadi wakawa wabunge then Leo hii unasema nni wwe?

Tatizo watu wakishapata majina mnadhani walifika hapo kwa juhudi zao pekee. Kma Mbowe angekua mkabila au dikteta angejihangaisha kuwajenga hao mabinti?
Can an imbecile like you be groomed and become like Halima Mdee or Zitto Kabwe. If yes, why aren't you like them?
 
Can an imbecile like you be groomed and become like Halima Mdee or Zitto Kabwe. If yes, why aren't you like them?
I'm not a politician but I'm an academician. I was groomed by other experts such as Dr. Teddy to be an expert in research & management.

From division 4 back in O level to 1st Class Masters Degree from UDBS, then be sure any embicile can be groomed in his/her own discpline and make it to the top.
 
I'm not a politician but I'm an academician. I was groomed by other experts such as Dr. Teddy to be an expert in research & management.

From division 4 back in O level to 1st Class Masters Degree from UDBS, then be sure any embicile can be groomed in his/her own discpline and make it to the top.
This is JF. Everybody is someone! Ahahahahaha!
 
c
Haiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.

Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni

Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
chinembe kwetu ni ki 👉💄
 
Back
Top Bottom