VIDEO: Halima Mdee na wenzake walivyopewa wasaa wa kuomba msahama Baraza Kuu CHADEMA

VIDEO: Halima Mdee na wenzake walivyopewa wasaa wa kuomba msahama Baraza Kuu CHADEMA

Jambo lipi? Sheria zipo clear mbona Mbowe Hana mamlaka ni Mnyika pekee so wawe na baraka ya Mbowe or whatever maadam hakuna minutes ya kikao Cha Kamati kuu Wala Mnyika hakutoa fomu za NEC kwa kina Mdee then kisheria wao sio halali.
Lakini sote tunaona jinsi sheria ndani ya nchi hii zisivyokuwa na maana yoyote wakati siasa ndiyo inayotawala.

Watu wanaopaswa kujua na kuheshimu sheria si ndio hao watunga sheria wenyewe, na kiongozi wao spika ni mwanasheria nguli; unataka sheria za namna gani zitakazoheshimiwa na hawa watu wakati wana agenda zao za kutekeleza?

Siasa imekuwa kila kitu ndani ya Tanzania. Actually, hata naona aibu kuwaita hawa watu wanasiasa, kwa sababu hizi siyo siasa kiuhalisia. Ni ujambazi tu wa kutumia madaraka vibaya.
 
Labda wadau wanisahihishe ..hivi kuomba msamaha ni kusikilizwa?na hizi kstiba zetu ziangaliwe upya maana zinaenda kinyume na katiba ya nchi na msimamo wa chama wa kulinda haki ya mtu binafsi.
 
Bado ninaamini kuna siri nzito baina ya Mbowe, Mnyika na hao kina Halima kuhusu ubunge wao. Kinachofanyika ni kiini macho tu kuaminisha umma kuwa Uongozi wa Chadema hauhusiki.

Hawa walitengeneza mazingira ya kuwaruhusu lakini kwa njia yakuonekana kuwa wamekwenda kinyemela. Hata hizi sarakasi za kwenda Mahakamani walishajua kitakachofuatia. Na mwisho kabisa hawa wataendelea na Ubunge hadi 2025.

Mbowe anajua fika Chadema haiwezi kuchukua nchi kwahiyo hawezi kukubali eti watu wakose fedha za ubunge wakati wameshakisotea sana Chama. MBOWE NI MASTER MINDER
 
Labda wadau wanisahihishe ..hivi kuomba msamaha ni kusikilizwa?na hizi kstiba zetu ziangaliwe upya maana zinaenda kinyume na katiba ya nchi na msimamo wa chama wa kulinda haki ya mtu binafsi.
Waliitwa kuja Kamati kuu wakagoma kisa usalama wao!! So wakatimuliwa bila kujitetea.

Kwenye rufaa wamepewa chance ya kusema chochote so kama haombi radhi walau useme unapinga hukumu ya Kamati kuu!!

Wasijitetee ujinga, tokea mwaka Jana waligoma kwenda Kamati kuu kwa ujeuri then Leo wanataka kusikilizwa after hukumu?
 
View attachment 2230653

Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe alitoa nafasi ya wabunge wa viti maalum 19 kuomba msamaha kwa yaliyotokea kabla ya kupiga kura za kuwafukuzwa uanachama.

Fursa ya kuomba radhi haikutumiwa na yeyote kama alivyokusudia mwenyekiti ambapo kura zilipigwa kuamua kama wabaki au wafukuzwe na wengi wakaridhia wafukuzwe uanachama.
SASA WAOMBE MSAMAHA KWA KOSA GANI WALILOFANYA?UDHALILISHAJI HUO
 
Bado ninaamini kuna siri nzito baina ya Mbowe, Mnyika na hao kina Halima kuhusu ubunge wao. Kinachofanyika ni kiini macho tu kuaminisha umma kuwa Uongozi wa Chadema hauhusiki.

Hawa walitengeneza mazingira ya kuwaruhusu lakini kwa njia yakuonekana kuwa wamekwenda kinyemela. Hata hizi sarakasi za kwenda Mahakamani walishajua kitakachofuatia. Na mwisho kabisa hawa wataendelea na Ubunge hadi 2025.

Mbowe anajua fika Chadema haiwezi kuchukua nchi kwahiyo hawezi kukubali eti watu wakose fedha za ubunge wakati wameshakisotea sana Chama. MBOWE NI MASTER MINDER
Nusrat ilikuaje akatoka usiku na kesho akaapishwa? Hizo fomu za ubunge alijaza akiwa gerezani? Ama Mbowe ndio alienda kumtoa Ili specifically akaape???

Anyway kwanini Mbowe awapeleke kuapa kwa njia za panya ilihali angeamua kwa njia ya kawaida hakuna ambaye angempinga!!! Mbona alimleta Lowassa kweupe kabisa, mbona alitaka maridhiano na JPM kweupe kabisa? Leo hii ashindwe kufanya maamuzi ya kupeleka wabunge wakati angeitisha press conference moja tu wanachama tungemuelewa!!

Tafuteni reason ingine ila hii haiingii akilini
 
Nusrat ilikuaje akatoka usiku na kesho akaapishwa? Hizo fomu za ubunge alijaza akiwa gerezani? Ama Mbowe ndio alienda kumtoa Ili specifically akaape???

Anyway kwanini Mbowe awapeleke kuapa kwa njia za panya ilihali angeamua kwa njia ya kawaida hakuna ambaye angempinga!!! Mbona alimleta Lowassa kweupe kabisa, mbona alitaka maridhiano na JPM kweupe kabisa? Leo hii ashindwe kufanya maamuzi ya kupeleka wabunge wakati angeitisha press conference moja tu wanachama tungemuelewa!!

Tafuteni reason ingine ila hii haiingii akilini
Kwani hizo fomu zinachukua masaa mangapi kuzijaza?
 
Hakuna mpinzani aliyepiganiwa na watawala legacy yake ikabaki wanapotea mazima.
 
View attachment 2230653

Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe alitoa nafasi ya wabunge wa viti maalum 19 kuomba msamaha kwa yaliyotokea kabla ya kupiga kura za kuwafukuzwa uanachama.

Fursa ya kuomba radhi haikutumiwa na yeyote kama alivyokusudia mwenyekiti ambapo kura zilipigwa kuamua kama wabaki au wafukuzwe na wengi wakaridhia wafukuzwe uanachama.
Mema gani wamefanya hao? Kama labda wamemfanyia mwenyewe aseme.
 
Haiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.

Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni

Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Kinembe UONGO utakupeleka wapi?
 
View attachment 2230653

Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe alitoa nafasi ya wabunge wa viti maalum 19 kuomba msamaha kwa yaliyotokea kabla ya kupiga kura za kuwafukuzwa uanachama.

Fursa ya kuomba radhi haikutumiwa na yeyote kama alivyokusudia mwenyekiti ambapo kura zilipigwa kuamua kama wabaki au wafukuzwe na wengi wakaridhia wafukuzwe uanachama.
Mh. Halima Mdee aliishatwambia ya kwamba kilichotokea kwenye Mkutano wa Baraza Kuu ni uhuni. Mimi nasimama na Mh. Halima Mdee.
 
Kwani hizo fomu zinachukua masaa mangapi kuzijaza?
Barua mpaka za serikali ya mtaa aliipata wapi Nusrat? Fomu za wadhamini alizijaza saangapi na kina nani walimdhamini? Muhuri wa Mnyika aliipata wapi na ofisi zipo Dar?

Tusipende kuongea mambo tu bila kuhoji vitu basic kama hivyo. Yoyote aliyemtoa Nusrat saa 4 usiku ndiye aliyejua kuwa ataapa kesho yake and that person hawezi kuwa Mbowe maana Hana mamlaka juu ya DPP
 
Simama naye ila nakuhakikishia 2025 atakua kama Juliana Shonza tu irrelevant
Halima Mdee haitaji sympathy kutoka kwa yeyote. Alijijenga hadi akafika hapo na ana uwezo wa kujisimamia baada ya maisha ndani ya Chadema. Swali la wewe kujiuliza, unajisimamia?
 
Mtu mwongo utamjua tu maana hatunzi kumbukumbu. Kauli yako hii inathibitisha uongo wako...

Unasema;

✓ "Mbowe anawabembeleza COVID-19 wakaapishwe"

✓ Halafu Mbowe huyo huyo anawakikishia kuja kuwapa barua za utambulisho baada ya kuapishwa..!

Looh, what a coincidence is this that leads to a big lie 🤥🤥🤥🤥!

Wewe ni MWONGO. Hujui lolote...!
Achana na maccm. Hayaelewi kitu.
 
Back
Top Bottom