Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
Hebu weka hiyo videoHaiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.
Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni
Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Mtunza legasi katika ubora wakoHaiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.
Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni
Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Wangepiga kura za Siri ndo ungeshangaa
Ipo, inatembea sana mitandaoni, ntaiweka hapa, Mbowe anawabembeleza COVID 19 wakaapishwe na anawahakikishia chama kitawapa barua ya utambulishoHebu weka hiyo video
Weka video hapa, mambo ya mitandaoni yaache hukohuko mitandaoni.Ipo, inatembea sana mitandaoni, ntaiweka hapa, Mbowe anawabembeleza COVID 19 wakaapishwe na anawahakikishia chama kitawapa barua ya utambulisho
Kwahiyo walikuwa wameshafikia hatua ya kutambulishwa kabla chama hakijatoa barua ya utambulisho sasa huko kwenye kuapishwa walikuwa wametambuliwaje. Mambo mengine akiongea mtu mzima yanashangaza sanaIpo, inatembea sana mitandaoni, ntaiweka hapa, Mbowe anawabembeleza COVID 19 wakaapishwe na anawahakikishia chama kitawapa barua ya utambulisho
Mataga katika ubora wakoHaiwezekani awashawishi wakawe wabunge, awape na barua za utambulisho halafu awakane.
Yeye na Mnyika wanawajibika.
#kataaWahuni
Mdee atoe clip za jinsi Mbowe alivyowashawishi wakaapishwe, tena akiwa na Mnyika
Mtu mwongo utamjua tu maana hatunzi kumbukumbu. Kauli yako hii inathibitisha uongo wako...Ipo, inatembea sana mitandaoni, ntaiweka hapa, Mbowe anawabembeleza COVID 19 wakaapishwe na anawahakikishia chama kitawapa barua ya utambulisho
Nipe PM hio clip it can't be mbowe afanye huo ujinga?!!!Ipo, inatembea sana mitandaoni, ntaiweka hapa, Mbowe anawabembeleza COVID 19 wakaapishwe na anawahakikishia chama kitawapa barua ya utambulisho
Nipe PM hio clip it can't be mbowe afanye huo ujinga?!!!
Huyo mpuuzi tu, hivi unaapishwa kwanza halafu barua ya utambulisho baadae, anatunga stori za kitoto,Mtu mwongo utamjua tu maana hatunzi kumbukumbu. Kauli yako hii inathibitisha uongo wako...
Unasema...
Video pleaseKwa jinsi alivyokuwa anawabembeleza kuna kitu nyuma ya pazia kitakacho msubua sana Mbowe!! Asipotumia busara na kumpisha mwingine kuongoza chama muda si mrefu atapata aibu na hata kuwa na heshima tena kama kiongozi!! THE WRITTING IS ON THE WALL HE SHOULD READ AND UNDERSTAND.
Angalia # 1Video please
Halima Mdee kashalishwa uhuni na maCCM, Esther Bulaya kamharibu Mdee yule original.Halima alisema Mbowe kafanya uhuni lakini imedhihirika nani ni mhuni.